johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Walikuwa na Haki ya kulalamikia Urais wa Mzee Mwinyi kwa sababu Katiba ya Nchi ya Zanzibar inasema Rais lazima awe Mzawa
Lakini hawana Haki ya kulalamikia Urais wa Dr Hussein Mwinyi kwa sababu ni Mzawa wa Zanzibar
Mwanasheria huyu nguli Africa ametoa Ufafanuzi huu kurasani X
Jumaa Mubarak
Lakini hawana Haki ya kulalamikia Urais wa Dr Hussein Mwinyi kwa sababu ni Mzawa wa Zanzibar
Mwanasheria huyu nguli Africa ametoa Ufafanuzi huu kurasani X
Jumaa Mubarak