Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
katibu mkuu wa Chadema Dkt Slaa akionyesha baadhi ya vielelezo kwa wanahabari leo mjini Iringa..
Katibu mkuu huyo wa Chadema Taifa Dkt Slaa ameibua mambo mazito juu ya waziri Sitta na serikali yake katika mkutano huo na kueleza mikakati mbali mbali ya Chadema .
Source: Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima