ataitisha press conference wakati waislaam wako kwenye swalat'ljumaa. Sababu?
Waandishi wakiislaam wasiwepo!
Nachojua Sensa inaisha J2.. Pila shaka atawaandaa Watanzania kwa muendelezo wa Moto usiokoma wa M4C.
Ngoja nichukue siti ya mbele
Nyie sana mtachizika. So hata kula msile coz ya ijumaa? JIREKEBISHENI.
Mkuu unahamu hahahaha sasa na Mshumbusi atakuwa na nini!