naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
sweetheart, unfortunately Chauro decided to continue with the torments.... THERE MUST A BITTER-SWEET EXPERIENCE HAPO AMBAYO IS NEXT TO NONE!!!I IT DOES NOT WORTH IT: OMG! It happens a lot and let me tell you from experience;Any bad relationship involves emotional abuse and lowering of one partner's self esteem.
Emotional abuse ndo kama hiyo ya mtu kukudharau na kuona huwezi,low self esteem ndo hiyo kuendelea kumpenda na kuwa nae pamoja na hayo anayofanya na hii waga imeambatana na kuona hakuna wa kumpenda au kama yeye.Dunia ni shule,mi ninaendelea kusoma.........
1.There is life without that guy,you deserve better and you can make your life better yourself even when you do not have anyone else.
2.You lack confidence,why listen to someone who discourages you,we need our partners to encourage us and make us better persons.Do not let someones opinion become your reality.
3.God loves you so much,magnify him and not an assclown you met who gives you good sex and disrespect your feelings.
4.If you do not respect yourself and show how much you worth,no one will do,they will always take advantage of you...Have some standards and pride.
5.Love yourself,keep your head up high,smile and thank God for who you are and the fact that you are breathing and when you are happy,happy people will join you,when they do....do not forget your past,RESPECT YOURSELF and have CONFIDENCE.
I have bn through hell in relationship and its time to help others, i also get hurt but by not accepting any sort of disrespect.
It might be possible lakini Chauro anaweza asi-notice aone labda ni jambo la kawaida...umemzoea tu bana, mapenzi yeshachuja hapo.
Boost your self esteem, jiendeleze kielimu/biashara/miradi.
Have an open communication na partner wako.
Is there a room for a change(s)?
Kama hakuna, swallow your pride.
Jijengee msingi mpya wa maisha yako.
I see being true to the truthHaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Finest ukimfukunyua paka ......................nimeibadili maana mwenyewe akiishtukia ntahamishwa mji:bange::evil:
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?