Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?