asante wiselady vipi kama anakuwa kwenye kundi hilo lakini kwa nje anajionyesha ni mzuri kwako
you said it well michelle
The Following User Says Thank You to michelle For This Useful Post:
hashycool (Today)
you said you still love him! is that right?
there is something very wrong with making the same mistake
over and over again,day in and day out.this shows a complete lack of you two self awareness
Figure out what is right and what is wrong in your days and in your life
then set about making immediate improvements.
cause at the end of the day your happiness is of such a great importance.
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
you said you still love him! is that right?
there is something very wrong with making the same mistake
over and over again,day in and day out.this shows a complete lack of you two self awareness
Figure out what is right and what is wrong in your days and in your life
then set about making immediate improvements.
cause at the end of the day your happiness is of such a great importance.
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
Mdogo wangu, I hope huyo mtu ulishammwaga, au sio??
Maana hata signature yako imekua very exciting:israel:
Dah!!! Kumbe bado imekula kwangu, ngoja niendelee kusubiri kama fisi labda iko siku mkono utadondoka nikaunyakuaNashukuru alikubali kubadilika,ingawaje inawezekana nimebeba mazoea nikifikiri mabadiliko kumwaga sio rahisi ivo isome weakness point yangu ilikuwa wapi! hiyo signature imebeba mengi kaka sina cha kusema zaidi ya hapo.
Dah!! Halafu nilikuwa sijaona hiyo signature...mhhh there's definitely something thereNashukuru alikubali kubadilika,ingawaje inawezekana nimebeba mazoea nikifikiri mabadiliko kumwaga sio rahisi ivo isome weakness point yangu ilikuwa wapi! hiyo signature imebeba mengi kaka sina cha kusema zaidi ya hapo.
Chaura,naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?
Dah!! Halafu nilikuwa sijaona hiyo signature...mhhh there's definitely something there
kwahiyo unataka kusema ndioumededicate mabadiliko yake kwenye saini siyo??Nashukuru alikubali kubadilika,ingawaje inawezekana nimebeba mazoea nikifikiri mabadiliko kumwaga sio rahisi ivo isome weakness point yangu ilikuwa wapi! hiyo signature imebeba mengi kaka sina cha kusema zaidi ya hapo.
kwahiyo unataka kusema ndioumededicate mabadiliko yake kwenye saini siyo??
He is such a lucky dude
naomba kuuliza je ina maana yoyote
1. kuendelea kumpenda mtu ambaye anakudisrespect
2.ambaye una feel like he is using you
3.hajali maneno matendo anayofanya kama yanakuumiza hata kama unamuambia
4.ameshaamua kukudharau kwa kila unalosema au unalotaka kufanya anaweka question mark kama vile huwezi au ni wewe ina maana ameshaku undergrade
5.sana sana anahitaji kutimiza tamaa zake za mwili na sio kingine
najua watu wengi wameshakumbana na hayo au mojawapo
je nini mtu afanye anapokuwa kwenye hali hiyo na bado anampenda mtu wa aina hiyo ?