Kihifadhiwa, ila iwe fundisho na asirudie tena mchezo huu. Hangaya kasha muweka katika list yake. Akaombe msamaha.Twisted ? ....basi sawa pona haraka mjomba
Tumalize hoja moja kwanza hiyo ya Kongwa itafunguliwa uzi wake baadayeAidha ajali nyingine ilitokea Kongwa ambayo ilihusisha gari la ofisi ya Makamu wa Rais lililogongana na lori na kuuwa Watu wawili na majeruhi mmoja
Tafadhali, usirudie kusema sentesi hii...!Nchi ngumu hii
HajafaKifo hakifichiki. Kama alikufa akiwa na mtu huyo mtu lazima ana ndugu zake, marafiki na watu wengine wa karibu.
Mkuu, TIRA sio shirika la bima bali ni mamlaka ya usimamizi wa shughuli za bima nchini, NIC ndio shirika la bima la taifa.Ninavyojua mahari yote ya serikali Yana bima kutoka TIRA
Walishazoea kitambo sanaKwani hata yule mwamba SI tuliambiwa alikuwa busy ofisini akichapa kazi kweli kweli? Huu ulokole was kusema kweli kumbe wameupata kuanzia lini?
🍀na shetani sawa na uji na mgonjwa 🤔Hii taarifa ya kupika ilitarajiwa! ccm mna undugu na shetani bila shaka
Halafu eti mtu kuvunjika kidole gumba Cha mkono tu ndiyo analazwa hospitali siku tatu!!! Je angevunjika kiuno angelazwa miaka mingapi?! Any way , serikali wanaficha kilichotokea kama busara kwa ajili ya kunusuru ndoa yake. Ukweli ukijulikana mke wa naibu waziri atazua mtafaruku ambao serikali hawataki jambo Hilo litikeeHii issue ukiitazama kwa makini naona kuna kitu serikali inaficha, na sijui wanafanya hivyo kwa manufaa ya nani.
Kama mtu kakosea awajibishwe lakini kumuacha ni sawa na kulea uozo kwa watendaji wa serikali, au labda wanasubiri atoke hospitali ndio hatua nyingine zifuate..
Mapenzi sio kufanya ngono, mapenzi ni hali ya kuonyeshana upendo kwa njia yeyote ileMapenzi ni nini?
Nchi hii wazinzi wanapenda kutetewaNa huyo mwanamke aliyekua nae ambapo inasemekana kafariki, vipi mbna hawatoi taarifa kumuhusu??
Viongozi nchi wepesi sanaNdiyo maana Siri nyingi za Nchi zinakuwa wazi kwa kwa kuwategea Viongozi Wanawake pamoja na huko kwenye Masanga yao
Hahaha.................wakifanyiwa maajabu tu huko vyumbani kazi inakuwa imeisha.Viongozi nchi wepesi sana
We wategeee madem tu utawaokota sana
Ova
Sio kidogo !!kama ni kweli basi nasema ni mjinga sana
View attachment 2604901
JESHI la Polisi nchini limesema ajali iliyotokea Aprili 26, 2023 ikimuhusisha Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk Festo Dugange ilisababishwa na Bodaboda aliyekuwa akivuka barabara ghafla bila kuchukua tahadhari.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Martin Otieno imesema gari hilo lenye usajili wa T 454DWV aina ya Toyota Land Cruiser likiendeshwa na Naibu Waziri Dugange lilipoteza mwelekeo na kugonga kigo ya barabara ya Iyumbu maeneo ya St Peter Clever na kupinduka.
“Kulikuwa na mtu moja tu (dereva) kwenye gari hilo ambaye ni Naibu Waziri. Alivunjika kidole gumba cha mkono wa kulia na kupata majeraha katika mkono huo,” amesema Kamanda Martin.
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amemjulia hali Dk Ndugage ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Doodma.
Pia, soma: Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari