Naibu Waziri anapopata ajali then Viongozi wakuu wa Wizara na nchi Kwa ujumla wasitoe pole Kwa familia siyo afya. Kuna fumbo

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Viongozi wanapopata ajali tumezoea kuona viongozi wenzake kupitia akaunti zao binafsi za mitandao ya kijamii zikitoka pole Ila kwa huyu Naibu Waziri watu wamekaa kimya.

Sidhani kama inaleta afya, inaonyesha kama ametengwa.

Tujitahidi kuondoa double standard Kwa Sababu angekuwa anatoka miongoni mwa zile big eighty families lazima viongozi wote wangepost, Ila Kwa Sababu kapenya kutokea Kwa mkulima kuja kuwa Naibu waziri no one cares.

Tunayo mifano mingi ya ajali za viongozi na namna zilivyoripotiwa ila hii hapana. Tuweke usawa hata Kwa unafiki. hata tovuti ya wizara imedelay Sana ikiwemo Bunge.

Zaidi, soma: Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, apata ajali ya gari
 
Viongozi wanapopata ajali tumezoea kuona viongozi wenzake kupitia akaunti zao binafsi za mitandao ya kijamii zikitoka pole Ila kwa huyu Naibu Waziri watu wamekaa kimya. Sidhani kama inaleta afya, inaonyesha kama ametengwa. Tujitahidi kuondoa double standard Kwa Sababu angekuwa anatoka miongoni mwa zile big eighty families lazima viongozi wote wangepost, Ila Kwa Sababu kapenya kutokea Kwa mkulima kuja kuwa Naibu waziri no one cares. Tunayo mifano mingi ya ajali za viongozi na namna zilivyoripotiwa ila hii hapana. Tuweke usawa hata Kwa unafiki.....hata tovuti ya wizara imedelay Sana ikiwemo Bunge....y
Acha utopolo usio na mashiko.
Waziri kijana alipata ajali katika mzingira gani?
Ni mazingira ya ufuska , yanafaa kuenziwa na Taifa?

Waziri Mkuu mmoja huko Uingereza alimfuta kazi bila hata kuonana naye waziri mdogi wa serikali yake, habari zilipojitokeza kuwa ameonekana na machangudia kwenye vyombo vya habari.

Hizi ndiyo moral standards zitarajiwazo kwa viongizi.
 
Viongozi wanapopata ajali tumezoea kuona viongozi wenzake kupitia akaunti zao binafsi za mitandao ya kijamii zikitoka pole Ila kwa huyu Naibu Waziri watu wamekaa kimya. Sidhani kama inaleta afya, inaonyesha kama ametengwa. Tujitahidi kuondoa double standard Kwa Sababu angekuwa anatoka miongoni mwa zile big eighty families lazima viongozi wote wangepost, Ila Kwa Sababu kapenya kutokea Kwa mkulima kuja kuwa Naibu waziri no one cares. Tunayo mifano mingi ya ajali za viongozi na namna zilivyoripotiwa ila hii hapana. Tuweke usawa hata Kwa unafiki.....hata tovuti ya wizara imedelay Sana ikiwemo Bunge....y
Hivi huoni hata aibu kuandika hii thread? Hakutakiwa hata kutembelewa na makamu wa rais, yule ni mtovu wa maadili. Ameshaharibu gari ya serikali kwa ufuska wake, halafu serikali itoe pole. Rais alitakiwa ameshateua naibu mwingine na kumpuuza huko hospitalini apambane na hali yake. Baba wa Taifa ktk moja ya hotuba zake alituambia kiongozi wa serikali hatakiwi kuwa na maadili ya kutiliwa shaka yoyote. Alitoa mfano wa Uingereza kuwa kulikuwa na waziri moja mdogo alionekana akitembea na kimwana mjini London, wananchi walipopiga kelele yule waziri aliandika barua ya kujiuzulu na waziri mkuu wa Uingereza wa wakati ule hata hakumjibu aliteua mtu mwingine kuwa waziri alimpuuza tu. Sasa hawa wa kwetu eti makamu wa rais anaeenda kumpa pole hospitalini.

Nimemdharau sana huu makamu wa rais anaongea kwa sauti wa unyenyekevu kumbe unafki tu, ni km mapadre wa kanisa katoliki wanaongeaga kwa sauti fulani ya unyenyekevu sasa nenda kafuatilie matendo yao mitaani, ni washenzi, na usisahau naye ni mkatoliki. Ngoja tuone akipona km ataendelea na nafasi yake ndio tutajua hii ni serikali ya manguruwe tu haina maadili yoyoye na wananchi wataidharau sana.
 
Huyo ni binadamu aliekosea kama.inavyosemekana
Serikali ingeweka wazi yaliyotokea na kwa aibu Rais angechagua mwingine

Ila serikali hii huwa inaona hao wafanyakazi walioteuliwa ni ndugu wote na wanateteana hata kwa wizi tumeona

Hii ni dhambi na lazima likemewe tena na Rais mbele ya umma
 
😅
Uchunguzi ufanywe na Polisi wa Nje?
Dereva alikuwa wapi siku ile? Kwanini dereva hakupangiwa kuendesha?
Askari wa Barabarani walikuwa wapi? Kuna CCTV? nani aliwaondoa barabarani?
Aliyeenda kumuona ni Makamu... ndie aliyeenda peke yake, lazima kuna ukatili huko🤭 au ndio maaigizo kutoka juu?

Yani mambo haya, kha Aisee
Pole zake yeye Taifa, Familia, Familia, Sirikali.



😅😅🧐🧐🧐🤭

16%
 
Hivi huoni hata aibu kuandika hii thread? Hakutakiwa hata kutembelewa na makamu wa rais, yule ni mtovu wa maadili. Ameshaharibu gari ya serikali kwa ufuska wake, halafu serikali itoe pole. Rais alitakiwa ameshateua naibu mwingine na kumpuuza huko hospitalini apambane na hali yake. Baba wa Taifa ktk moja ya hotuba zake alituambia kiongozi wa serikali hatakiwi kuwa na maadili ya kutiliwa shaka yoyote. Alitoa mfano wa Uingereza kuwa kulikuwa na waziri moja mdogo alionekana akitembea na kimwana mjini London, wananchi walipopiga kelele yule waziri aliandika barua ya kujiuzulu na waziri mkuu wa Uingereza wa wakati ule hata hakumjibu aliteua mtu mwingine kuwa waziri alimpuuza tu. Sasa hawa wa kwetu eti makamu wa rais anaeenda kumpa pole hospitalini.

Nimemdharau sana huu makamu wa rais anaongea kwa sauti wa unyenyekevu kumbe unafki tu, ni km mapadre wa kanisa katoliki wanaongeaga kwa sauti fulani ya unyenyekevu sasa nenda kafuatilie matendo yao mitaani, ni washenzi, na usisahau naye ni mkatoliki. Ngoja tuone akipona km ataendelea na nafasi yake ndio tutajua hii ni serikali ya manguruwe tu haina maadili yoyoye na wananchi wataidharau sana.
Makamu wa Rais kajizalilisha mno I thought yuko smart kumbe naye wale wale hafu siku ukimuona kanisani utasema ni malaika.
 
Nyepesi mshikaji alikuwa katoka kwenye mizagamuo na n'ke wa mtu, if proved hii ni kashfa kubwa ya mwaka na ni doa kubwa kwa serikali yetu.

Kwa sisi ambao wake zetu wapo Dodoma kikazi na sisi tumebakia Dar na watoto aisee tuna mawazo mengi sana juu ya usalama wa ndoa zetu hizi..:(
 
Back
Top Bottom