Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Tofauti na alivyosema.tuache kutetea au kufabricate maneno ili yamake sense!.....that statement was kinda shallow.Dr. Slaa ametumia mantiki na si ngumu kuelewa; kama Mwenyekiti wa Mtaa amechaguliwa na anaweza kuondolewa na wananchi wake waliomchagua kabla ya muda wake (wakifuata taratibu zilizopo) basi yawezekana kabisa kumuondoa Rais aliyeko madarakani kabla ya muda wake kwa kufuata taratibu zilizopo. Hili haliitaji uanasayansi kulielewa vinginevyo tusingekuwa na vipengele vya impeachment au sheria inayoruhusu mtu akivuliwa uanachama wake anapoteza haki ya kuwa Mbunge au Rais.