Dk. Slaa: Si uhaini kumng'oa rais Kikwete kabla ya 2015

Mimi narudia na kukuunga mkono kwamba mwenendo huu wa Chadema unaweza kuwafanya waonekane wana sinister motive, over and above kupigania haki na maisha bora ya watanzania na hupati shida kuona dhamira yao pale wanapokuwa mikutanoni na kuwauliza wananchi: "Mnataka kama Tunisia?". Hapa unaona kabisa kwamba lengo la chadema siyo kuiweka serikali katika mkondo unaotakiwa na wakati huo huo kutoa sera mbadala ambazo zitaifanya ikubalike na kuja kupewa ridhaa hapo baadae. Kwa kuleta analogy ya namna unavyoweza kuondoa kiongozi katika ngazi za serikali ya mitaa, inadhihirisha kabisa kwamba hiyo ndiyo dhamira waliyonayo katika ngazi ya juu ya utawala na pengine ndiyo maana slogan za ki-Tunisia Tunisia zinaimbwa sana. Hata ukiangalia na kupima sana, hupati hasa malengo ya mikutano yao na kile wanacholenga kukiwasilisha kwa wananchi. Je, ni mikutano ya kushukuru? Ni mikutano ya kuhamasisha kuchangia mjadala wa katiba? Ni mikutano ya kuishinikiza serikali iondoe kodi kwenye mahitaji muhimu? Au ni mikutano ya kulipua mabomu (ya mafisadi wapya) na kufichua majina ya waliokuwa waanzilishi wa CCJ na jinsi walivyopata vyeo CCM?

Kwa maoni yangu, Chadema wako kwenye hatari ya ku-squander goodwill wanayo-enjoy kutoka kwa wananchi, lakini kikubwa zaidi, along the way, wanapoteza watu ambao walikuwa na matumaini na kutiwa moyo na malengo yao, kutokana na kuingiza siasa ambazo zinaonekana kukosa mwelekeo wa kujenga umoja wa kitaifa na sasa hili lililo wazi: Kuchochea wananchi waikatae serikali yao na kumuondoa rais kabla ya wakati wake!

Staili ya kujibu hoja ya kiccm huwa inanichekesha sana, siku zote ni kutishia, kutishia...... Mkuu the biggest problem with you on Chadema ni kwamba you hate Chadema, you hate Dr. Slaa, you hate new ideas, you hate anyone that is either supporting chadema's opinions or the leaders at large. You are just a hater and you are in records humuhumu ndani ya JF. Hizo tisha tisha ni muelekeo wa namna gani mmeishiwa hoja!
 
Ndugu yangu MAFILILI, mpenda amani aiwezekani una Wabunge 23 halafu ndio usema utachukuwa nchi na nguvu ya UMMA???

una habari wale wabunge wa nec washaanza kula kichapo toka kwa wananchi?unaelewa hii inareflect nini?
 
Dr. Slaa ameboa katika elimu ya dini, katika siasa katoka kapa; haiji akilini una wabunge 23 wa kuchaguliwa kutoka katika majimbo ya 200 sueme mimi nilichakachuliwa URAIS, sasa umegeuza kibao, utachukua URAIS pasipo njia ya uchaguzi. Hao walaaniwe, wazomewe kwani hawana mema kwa watz, NIA yao ni kuhakikisha wanatumia mbinu chafu waingie IKULU ili wazidi kukwepa kodi. WAOGOPWE KAMA UKOMA!
Nina mashaka na elimu yako kijana,hv shule ulisoma au ulikariri?
 
Hawa watu wanao dharau wenyeviti wa vijiji kwa hakika nawashangaa sana, na ndiyo maana hatuendelei, nakushukuru Mzee Mwanakijiji kwa maelezo yako mazuri.
 
Kwanini Mzee Slaa atumie Kigezo cha Sheria ya M/kiti wa Serkali ya Kijiji, ambaye huchaguliwa kwa Sheria za Chaguzi za TAMISEMI ambazo ziko tofauti na Sheria za Chaguzi za Tume ya Uchaguzi Taifa (NEC)? Rais akishachaguliwa anakuwa na Mkataba wa Miaka 5, akimaliza muda huo, wananchi watamhukumu yeye na Chama chake. Ikiwa kabla ya muda huo Wananchi wataona mwenendo wake Haustahmiliki mpaka kuisha miaka 5, basi Wananchi kwa Ujumla wao (The Greater Majority) wanaweza kuamua kutotawalika kwa Kuandamana Nchi nzima na Kugoma kabisa Kwenda kazini, watakapoamua hivyo, basi Hakuna nguvu itakayowazuia, hata Jeshi kubwa Kama la Misri au South Africa halitaweza kuwazuia. Lakini sharti iwe ni Matakwa ya kweli ya Umma wenyewe, Sio Hila na Ghilba ya kikundi fulani cha Wajanja wanaotaka kushika Uongozi wa Nchi kwa kuyakuza na kuyatumia Mapungufu ya Utawala uliopo (as if wao Watakapotawala hawatakuwa na Mapungufu yoyote!) Njia hii ya Mkato kwenda Ikulu mara nyingi huwa haifanikiwi, kwani inaTendency ya kuignore interests za The Silent Majority, Wajanja hao wanakuwa Blinded na Tamaa zao za Ikulu kiasi kwamba They Totally lack The Sense of Proportionality, wakienda kwenye Mji wenye 75,000 Voters, basi wakijitokeza watu 5,000 (Voters + Non Voters) wakaandamana Kuwaunga mkono, basi watadai Wameuteka mji wote, Ukifika wakati wa Uchaguzi wakipata kura 10,000 na Wenzao wakapata 40,000, basi watahamaki na kudai Kura zimechakachuliwa! Uprising yoyote watakayoiandaa Haitafanikiwa bila itakuwa vurugu tu, Damu isiyo na Hatia itamwagika, Vifungo vitakuwa vingi na Watawala wataendelea Kutawala kwa Ridhaa ya Wengi.
 
Hiyo ndiyo Sheria aliyosoma dr slaa bora akagombee uenyekiti wa kijiji huko kwao Karatu kwa urais anadhihirisha kua hatoshi.ndiyo maana alishindwa kusimamia. canon law akafukuzwa upadri!

Una ushahidi wa Slaa kufukuzwa upadre au unasema kwa kuwa unaweza kuandika ?Slaa hakufukuzwa Upadre na hata CCM wanaojua ku twist mambo walishindwa kuzuka na hoja hii maana kuna ushahidi wote wa Slaa kuombana kuruhusiwa kuacha kutoa huduma lakini Upadre hadi kufa uko pale pale .
 
Kwanini Mzee Slaa atumie Kigezo cha Sheria ya M/kiti wa Serkali ya Kijiji, ambaye huchaguliwa kwa Sheria za Chaguzi za TAMISEMI ambazo ziko tofauti na Sheria za Chaguzi za Tume ya Uchaguzi Taifa (NEC)? Rais akishachaguliwa anakuwa na Mkataba wa Miaka 5, akimaliza muda huo, wananchi watamhukumu yeye na Chama chake. Ikiwa kabla ya muda huo Wananchi wataona mwenendo wake Haustahmiliki mpaka kuisha miaka 5, basi Wananchi kwa Ujumla wao (The Greater Majority) wanaweza kuamua kutotawalika kwa Kuandamana Nchi nzima na Kugoma kabisa Kwenda kazini, watakapoamua hivyo, basi Hakuna nguvu itakayowazuia, hata Jeshi kubwa Kama la Misri au South Africa halitaweza kuwazuia. Lakini sharti iwe ni Matakwa ya kweli ya Umma wenyewe, Sio Hila na Ghilba ya kikundi fulani cha Wajanja wanaotaka kushika Uongozi wa Nchi kwa kuyakuza na kuyatumia Mapungufu ya Utawala uliopo (as if wao Watakapotawala hawatakuwa na Mapungufu yoyote!) Njia hii ya Mkato kwenda Ikulu mara nyingi huwa haifanikiwi, kwani inaTendency ya kuignore interests za The Silent Majority, Wajanja hao wanakuwa Blinded na Tamaa zao za Ikulu kiasi kwamba They Totally lack The Sense of Proportionality, wakienda kwenye Mji wenye 75,000 Voters, basi wakijitokeza watu 5,000 (Voters + Non Voters) wakaandamana Kuwaunga mkono, basi watadai Wameuteka mji wote, Ukifika wakati wa Uchaguzi wakipata kura 10,000 na Wenzao wakapata 40,000, basi watahamaki na kudai Kura zimechakachuliwa! Uprising yoyote watakayoiandaa Haitafanikiwa bila itakuwa vurugu tu, Damu isiyo na Hatia itamwagika, Vifungo vitakuwa vingi na Watawala wataendelea Kutawala kwa Ridhaa ya Wengi.

Katoa mfano wa M/kiti na kusema Katiba yetu haiko wazi sana katika kutoa uhuru na ndiyo akatolea mfano wa mabadilko hayo na kusema M/kiti wakijiji rudi soma tena utaelewa kasema nini
 
kwanini mzee slaa atumie kigezo cha sheria ya m/kiti wa serkali ya kijiji, ambaye huchaguliwa kwa sheria za chaguzi za tamisemi ambazo ziko tofauti na sheria za chaguzi za tume ya uchaguzi taifa (nec)? Rais akishachaguliwa anakuwa na mkataba wa miaka 5, akimaliza muda huo, wananchi watamhukumu yeye na chama chake. Ikiwa kabla ya muda huo wananchi wataona mwenendo wake haustahmiliki mpaka kuisha miaka 5, basi wananchi kwa ujumla wao (the greater majority) wanaweza kuamua kutotawalika kwa kuandamana nchi nzima na kugoma kabisa kwenda kazini, watakapoamua hivyo, basi hakuna nguvu itakayowazuia, hata jeshi kubwa kama la misri au south africa halitaweza kuwazuia. Lakini sharti iwe ni matakwa ya kweli ya umma wenyewe, sio hila na ghilba ya kikundi fulani cha wajanja wanaotaka kushika uongozi wa nchi kwa kuyakuza na kuyatumia mapungufu ya utawala uliopo (as if wao watakapotawala hawatakuwa na mapungufu yoyote!) njia hii ya mkato kwenda ikulu mara nyingi huwa haifanikiwi, kwani inatendency ya kuignore interests za the silent majority, wajanja hao wanakuwa blinded na tamaa zao za ikulu kiasi kwamba they totally lack the sense of proportionality, wakienda kwenye mji wenye 75,000 voters, basi wakijitokeza watu 5,000 (voters + non voters) wakaandamana kuwaunga mkono, basi watadai wameuteka mji wote, ukifika wakati wa uchaguzi wakipata kura 10,000 na wenzao wakapata 40,000, basi watahamaki na kudai kura zimechakachuliwa! Uprising yoyote watakayoiandaa haitafanikiwa bila itakuwa vurugu tu, damu isiyo na hatia itamwagika, vifungo vitakuwa vingi na watawala wataendelea kutawala kwa ridhaa ya wengi.

nimeipenda. Chadema waangalie hata wale waliokuwa wanakiunga mkono watawaacha
 
Yawezekana Mukama hajui rais yuko pale kutokana na wananchi wake, namshauri aende Tunisia na Misri atajua ni kina nani wamewaondoa katika nafasi za urais.
 
Hakuna mwana-CCM aliyejibu hoja ya Rais wa Zanzibar Mh. Aboud Jumbe kungolewa kabla ya muda wake kwa 'kujiuzulu' kama ni uhaini au la? Na kama iliweekana kwa Mh. Aboud Jumbe kungolewa kabla ya wakati wa muhula wake kwisha, Je Mh. Jakaya Kikwete hawezi kungolewa kabla ya muhula kuisha?
 
hiyo ndiyo sheria aliyosoma dr slaa bora akagombee uenyekiti wa kijiji huko kwao karatu kwa urais anadhihirisha kua hatoshi.ndiyo maana alishindwa kusimamia. Canon law akafukuzwa upadri!
kabla ya kutoa coment shauriana na mmeo
 
Mwaka 1973 Richard Nixon alijiuzulu akiwa katika mwaka wake wa pili wa awamu ya miaka minne. Hakuna popote pale imeandikwa kuwa rais wa Tanzania lazima amalize muhula wake wa miaka mitano. Kama itabainika kuwa ameshindwa kazi, ameshindwa kuongoza, amekiuka katiba, ameiba kura, etc. etc. basi aondolewe.
 
Katoa mfano wa M/kiti na kusema Katiba yetu haiko wazi sana katika kutoa uhuru na ndiyo akatolea mfano wa mabadilko hayo na kusema M/kiti wakijiji rudi soma tena utaelewa kasema nini

Lunyungu,
Mfano unapaswa uendane na Uhalisia wa mada Husika, suala la kumuondoa Rais Madarakani kabla muda wake Kikatiba ni jambo linalowezekana kabisa, lakini ni Sharti kuwe na Sababu za kimsingi kabisa, lakini si suala Jepesi kihivyo Kama anavyojaribu kutueleza Dr Slaa kwa kulinganisha na kumuondoa M/Kiti wa Kijiji, even by Context, let alone by Proportionality.
 
Te hehe he! Mengi tutayaona! Hivi CHADEMA wanalilia serikali za Mitaa?
CHADEMA hawakushiriki kikamilifu uchaguzi wa serikali za mitaa. CCM wakajisahau na wakatumia takwimu za matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kusema kwamba wanakubalika nchini. Ilipofika uchaguzi mkuu hakuna aliyeamini, hata ule msamiati wa "ushindi wa kishindo" umefutika, badala yake wakatafuta mkandarasi wa kufanya utafiti kwa nini mgombea urais wao alishindwa uchaguzi mkuu! Matokeo ndo hayo watu wanararuana kila kukicha kuhusu magamba!
 
dr.slaa alikuwa anawahutubia watu wenye viwango mbali vya uelewa,hivyo alikuwa sahihi kukokotoa kuanzia kwenye ngazi ya kijiji.ikumbukwe kuwa hiyo hoja ya kumuondoa m/kiti wa kijiji aliitumia kama premises,na kwa wale waliosoma logic/sheria utaona kuwa point ya dr.ina mantiki.
 
Anfaal, rais anaweza kuondolewa madarakani kabla ya kikomo cha muda wake. Hili haliitaji ugenius wowote kuliona. Kinga ya rais haimzuii kuondolewa na Bunge au kulazimishwa kujiuzulu kabla ya muda wake. Wananchi kwa mfano wakiamua kumshinikiza ajiuzulu Rais atajiuzulu na Makamu wake atachukua nafasi yake. Kama serikali nzima inaonekana imepoteza uhalali wake basi Bunge zima linaweza kujiuzulu na Uchaguzi Mkuu mpya ukaitishwa ndani ya siku 90. Hakuna alichokisema Slaa ambacho ni nje ya uwezekano wa kinadharia au kisheria.

Rais amefanya ile ile syllogism ambayo niliitumia kwenye ile mada nyingine; kama inawezakana wananchi (ambao ndio asili ya madaraka) kumuondoa kiongozi wao waliyemchagua wao wenyewe kwenye mtaa ina maana inawezekana wananchi wa nchi nzima wanaweza kumuondoa Rais wao. Hivi ndivyo ilivyokuwa Tunisia, Misri, Ukraine au hata nchi nyingine ambapo wananchi walitumia madaraka yao ya kutawala kumuondoa mtu waliyemkasimisha madaraka hayo.

Siku zote nakukubali Mwanakijiji, kwa kuongezea hapo kwenye red, na hatujasikia mtu au watu wakishtakiwa kwa uhaini ila kinyume chake, waliokuwa madarakani ndio wanaoshtakiwa na wengine wanarudisha mali za umma kama Suzzane Mubarak. Alichosema Dr Slaa kinawezekana na hakuna uhaini. Thanks Mwanakijiji
 
I am very worried na Hizi statements zina dalili zaidi ya uchu Wa madaraka kuliko kuleta maendeleo ..washauri Wa karibu Wa dr Slaa work on it
 
Hao wanasiasa jamaa.....kila mtua anasema lake,mukama vs lowasa wote wanatetea vyama,
 
Si uhaini rais kung'olewa na wananchi, wao ndio waliomuweka madarakani na wanauwezo wa kumtoa vilevile.
 
Back
Top Bottom