ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Ahsante Mungu wa israel kwani hiyo ndo" operesheni wajibikaji" na bado tukichukua nchi kwa wale wote watendaji legelege ndo mtahesabu nyota tu, kwani uwajibikaji ni lazima uanzie kwenye chama na baada ya hapo baada ya chama kushika nchi basi ndio mwendo mdundo.
Big up Rasis wangu slaa.
Mungu wa israel akulinde. Amen
jamani Tanzania hatuna Mungu mpaka tukaazime israel.MI CNA SHIDA NA MUNGU WA ISRAEL NA SHIDA NA MUNGU WA TANZANIA.