Diamond akataa hela ya Wema stejini...

ka diamond kenyewe kabaaaaya,sijui kanaringa nini?

Nimecheka weeee, wenzio wanamlilia, hawaishi kujipendekeza Kama mdogo wetu, katafuta vijisenti akamtunze, hahaha Diamond wee.
 
TO be honest, simuelewi Wema kilichompeleka kumtunza ni nini? Wenzio wamemwimba weee, wameigiza wee,ye bado tu anajishebedua, kweli MUNGU hakupi vyote, Wema kanyimwa akili au sijui tuseme hekima vile.
 
Kitendo alichokifanya diamond ni cha kike, na inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na tabia za kiswahili, mwanaume wa kweli hasusi ungechukua hizo pesa na kuchapa lapa, ukiwa jukwaaani unakua kazini na si kwenye mapenzi, kama ungekua hutaki pesa show ulifanya ya nini? wewe ni mnafiki mkubwa na mshamba tisheti iyo yenye mdada mbele ya nini umeambiwa hapo ni msibani au uyo dada aliechorwa hapo anaesadikika ni mpz wako ni mfu? maana tumezoea tshirt zenye sura mbele ni wafu...... sikiliza kijana kitendo chako kimeshakuharibia soko huna roho ya kibidamu na roho iyo mbaya inajionyesha hadi kwenye sura yako, jinsi ulivyo na sura mbaya na roho yako yako iko vivyo hivyo, ila watanzania wanakusamehe bure, kwa kuwa umeibukia vitu hivi ni vigen kwako hukutarajia kuwa hapo ulipo ndio maana unatenda mambo ya kijuha.................................(lijinga)..... hivi ukijiangalia utosi hadi unyayo unastahili kua na wema kweli au ulifadhiliwa:hand:? TAFAKALI CHUKUA HATUA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 114::A S 114:
 
namtetea diamond.
kila mtu anajua wema hana kazi,pesa zake anapata kwa kuchuna mabuzi.
Sasa kweli diamond akubali pesa za x wake alizohongwa na wanaume zake?
diamond umefanya vizur kukataa pesa za wema za kuchuna mabuzi.

hili nalo neno
 
TO be honest, simuelewi Wema kilichompeleka kumtunza ni nini? Wenzio wamemwimba weee, wameigiza wee,ye bado tu anajishebedua, kweli MUNGU hakupi vyote, Wema kanyimwa akili au sijui tuseme hekima vile.

huwez jua labda akili zake zilihamia masaburini,doh..
 
Kitendo alichokifanya diamond ni cha kike, na inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na tabia za kiswahili, mwanaume wa kweli hasusi ungechukua hizo pesa na kuchapa lapa, ukiwa jukwaaani unakua kazini na si kwenye mapenzi, kama ungekua hutaki pesa show ulifanya ya nini? wewe ni mnafiki mkubwa na mshamba tisheti iyo yenye mdada mbele ya nini umeambiwa hapo ni msibani au uyo dada aliechorwa hapo anaesadikika ni mpz wako ni mfu? maana tumezoea tshirt zenye sura mbele ni wafu...... sikiliza kijana kitendo chako kimeshakuharibia soko huna roho ya kibidamu na roho iyo mbaya inajionyesha hadi kwenye sura yako, jinsi ulivyo na sura mbaya na roho yako yako iko vivyo hivyo, ila watanzania wanakusamehe bure, kwa kuwa umeibukia vitu hivi ni vigen kwako hukutarajia kuwa hapo ulipo ndio maana unatenda mambo ya kijuha.................................(lijinga)..... hivi ukijiangalia utosi hadi unyayo unastahili kua na wema kweli au ulifadhiliwa:hand:? TAFAKALI CHUKUA HATUA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 114::A S 114:

kimamii naona umefunguka kweli,btw mwanaume hasifiwi sura..tehe!
 
Mademu wanamzimia sana dogo. Show nzima imejaa high-end pussy wa Bongo in their finest raiment.
 
aaaah ahhh wema alivyopotezewa akajikuta kama pedesheee akawa anamwaga pesa zake bt diamond kafnya vzuri snaaaaa ajaja ple kwa vijiset vyke

akajikuta anamake-it rain kwa sekunde kadhaa kama papaa musofe au rafiki yangu pedeshee ndama mutoto ya ng'ombe.LoL
 
dogo mshamba kweri kweri....otherwise aseme alikuwa busy kucheza na hakuona haja ya kupoteza stepu na kuchukua hela....

shori kajikakamua kichizi kumtunza dogo...mshamba sana huyu dogo kudadadadeki..



hata me nisingepokea.hela aliyohongwa na pedeshee ndo aje kunituza mimi?ptuuu...(natania)
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha wema nae akome kujipendekeza alifikiria diamond atashobokea hizo elfu 50 zake? Diamond kampotezea there's no doubt about that. Eti kanuna na kulia attention seeking bitch. Safi sana diamond. Wema endela kuchuna vigogo muahe diamond

aibu kweli
 
safi sana tujifunze kuheshimu wapenzi wetu tunapoachana nao sio maneno ya kashfa zisizo na kichwa wala miguu....angetulia kwenye kiti chake wala yasingemkuta sijui ana nini huyu binti

hivi na hao wakina mboni masimba waliokuwa wanashadadia kuvaa tshirt ya mwanamke mwingine ndo nini?duh kweli watu tunaishi mjin kwa style tofaut
 
Pole sana Wema Sepetu nina uhakika hauna haja tena na Diamond ila umeelemika kuliko huyu kijana mwenye shobo za ajabu.
Najua hata siku moja haikubalik mtoto wa kiume mwenye akili timamu kudengua. Eti anadengua wakat wa kaz..! shame on him na I am sure he is miserable 4 that.
Wema ni zaidi ya mwanamke hata udengue kafe mbele yani binti kama yule kakuweka kwenye chart hapa Tz unamdharau dat way?
Umekosa busara, huna fadhira, huna huruma tena ni katili sana wewe Diamond.
Binafsi umeniudhi na yeyote mwenye uelewa timamu umemboa.

Wema keep going usilie wala kuhudhunika. umeonesha ukomavu na IQ ya hali ya juu. Means Wema hana makuu, ana roho ya upendo, kusamehe na kusahau.

Daah pole Diamond for being too LOW.

kumbe wema ndo kamuweka kwenye chart diamond?>>>napita....
 
Back
Top Bottom