mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Diamond ni uswahili unamsumbua. tofauti zao zinahusika vipi kwenye tamasha lake? Wema kamtunza kama shabiki aliyeguswa na nyimbo zake, kama alivyotunzwa na wengine, iweje akatae mbele ya kadamnasi jamani. Kumtoa mtu tandale halafu utegemee atakua kama alokulia Mikocheni na kusoma Laureatte International ni vitu viwili tofauti. Kajidhalilisha yeye wala si Wema.
we mala.ya acha dharau