Umesomeka, word.hili nalo neno
yani usipowafahamu watu wanaofanya ujinga ujinga hapa mjini we ndio unaonekana mshamba mbele za watu. Lazima uwafahamu akina diamond, jokate, wema ili nawe uonekane mjanja.
Acha atambe ndo muda wake akifulia atasaulika
Diamond aka tandale Copper!
Wema ni mzungu wa tabia..ila kweli ni innocent sichupid kwan amesahau kuwa
Bwa'mdogo mswazi kitabia af mzungu pori wa mavazi..teh teh itamuaibisha kwa muda,but itakwisha na kila mtu ataendelea na life lake meen
ah haha mkuu umeniacha hoi,hivi mume wa mtu nae proper choice??mimi naamini huyu binti anakapepo,watu wa mungu muombeeni huyu mtoto.
Wema kwanini hakuendelea na kusoma? Naona she is missing a step...and before too late itakula kwake asipokuwa makini.
Wema angeenda akatunza show kwa kuziweka pale mbele tu yangekua shwari, sasa plus umaarufu tena alitaka amtunze crowd ione nk. Ni kama amejitakia mwenyewe kujichoresha. Haikuwa na ulazima aende mbele unless for show off... #mtizamo tu.
Diamond angazipokea ingekua skendo.
Hajazipokea imekua skendo balaa.
kumbe wema ndo kamuweka kwenye chart diamond?>>>napita....
...... hafu aka ka jokate kamekua kaswahili, wanasemaga taaarabu ni uswahili ila iyo show ilikua ni zaidi ya uswahili watu walijiandaa kurushana rohoooo, eti waliweka na aina ya mavaz a kuvaa wangesema na khanga pia ili warushane roho vizuriiii
Kimamii hivi wewe unatokea pori gani? Maana nyinyi wa porini mumekuja hapa uswahilini mukatukuta tayari tuna ustaarabu wetu, eti leo hii ndiyo nyinyi mumekuwa bora. Kha!
Mbona huwa hamutaki kurudi kwenu porini mukifika Dar munavamia mji na kujiona mumeendelea?
Samahani lakini........ Umeshasamehewa bure
Hata ingekuwa mimi nisingezichukua hizo hela.
hemed kaingiaje hapa maana kama kutunza wema tunamsoma anatunza kila siku...au nae anajifananisha na Diamond nsicheke mie bure
muuza sura unashawishika kijana alikataa pesa za yule binti kwa sababu ya wivu?hiyo show wema aliyemtunza hemed,TID nae alikuwepo!na katika watu wa mwanzoni kumkaa wema ni TID lakini kwa ujanja wa watoto wa kinondoni pesa alizotunza wema wanyamwezi walichukua bila mapozi!!!wa kiume huwezi kushindana na wa kike!diamond kamkuta wema anakimbiza na akifanya masihara atamwacha bado anakimbiza yeye anashikwa akili na maguberi ya town wakina mboni!!!bongo haina mwenyewe hii alikuwa mr nice,mr blue mpaka jembe TID leo wako wapi!mda wake utapita, na kibongo bongo madem ndo wanalindaga wanyamwezi wakiwa tengeru tee!
Kijana nae ana ushamba fulani ..:shut-mouth:
Nakubali ni ushamba flani.Kijana nae ana ushamba fulani ..:shut-mouth: