Gold Addict
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 150
- 42
its about tym wabongo tuache sifa za kijinga,diamond alienda pale kufanya show na si kupokea vijihela vya wema,alichotaka wema ni kuandikwa tena kwenye magazeti ya shigongo kwamba ana jeuri ya hela,kama alikuwa anataka kumtunza kweli angeweza akamtumia hata kwenye mpesa,big up diamond!