Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Msanii Diamond na mcheza show wake wakiwa nje ya mahakama ya Mwanzo Iringa mjini
MSANII nyota wa muziki wa Kizazi kipya Diamond na wenzake wamekubali kosa la kumshambulia mwandishi Bw. Francis Godwin na kuhukumiwa kwenda jela MIEZI 6 Kila mmoja ama kulipa faini shilingi 50,000 kwa Kila mmoja ikiwa ni Pamoja na kulipa sh. 30,000 kwa Godwin.
Watuhumiwa wamelipa faini japo Francis Godwin hajapokea fedha hiyo na kukusudia kukata rufaa katika mahakama ya juu zaidi