mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
angefungwa tu akae apate displin kiujumla tu ana mambo ya ajabu sana mtaani,ona tid alivotoka jela full respect,wasanii wetu hawa wengi wao ovyooo kabisa
Kuna kitu cha kujadili hapa. Wasanii ni watu muhimu katika fani yao kwa jamii. Wanachoshauri , kuhimiza, kutahadhalisha na mengineyo wanatakiwea kuwa mfano kwa matendo yao.
Vyombo vya habari vinafanya kazi kubwa pia kukuza na kutangaza kazi za wasanii, iweje waanza kuvishambulia wakati vyombo hivyo vikiwa kazini? Ni swa na polisi anapolinda usalama wako we unamsahambulia..
Cha ajabu hakuna taarifa ya kulipa gharama za uharibifu wa vyombo vya mwanahabari, wamepata adhabu ya kifungo cha mielzi 6 kama hawatalipa faili hiyo. Inatakiwa walipe gharama ya vifaa vya mwandishi walivyoviharivu, ndio maana anakusudia kukata rufaa mahakama ya juu zaidi.
Angefungwa kidogo ili akitoka atuimbie nyimbo za jela, tupumzike kusikia nyimbo za mapenzi kila kukicha
Ujinga mtupu kwenye hii thread! Wewe Candidscope kama ndo francisgodwin tafuta namna nyingine ya kuutangaza mtandao wako
No no no FRANCIS usikubali kabisaaa .Mi nashauli waandishi wote wahabari mmungane na kusimamia kucha mpaka kieleweke wamezoea sana hawa kuwazalilisha waandishi wa habari haiwezekan mafixadi wa ccm wawanyanyase na kuwazalilisha na hawa vimbora/vimburumatari wabana pua wawazalilishe mtoto huyu ni kimbora sana mafanikio kdg kesha jaa misifa kibao.
Asha sahau kuwa bila waandish wa habari leo hii asingekuwepo hapo alipo.
Inabidi huyu wamfunge ndiyo awe fundisho kwa wengine woote.
Mafixadi wa ccm waogopwe pind wawatishapo waandishi na haka kasenge nako kaogopwe ??
Ukaimu na Ugonjwa vilevile, kwa namba zilizopita pale sina uhakika na uzima wa yule dada!!afungwe bana tulikaimu lile dubwana lake ....nagongana nalo kila siku kwenye chipsi pale kwa hamijei madukani...sasa dogo anakaba sana ....apigwe mvua watu tujipindue kama DEMBA BA....
Kaka kiswahili kigumu sana. Mimi nadhani neno sahihi kutumika kwenye kesi kama hizi ni kushambuliwa. yaani ingebidi isomeke hivi, "Msanii Diamond aswekwa rumande kwa kumshambulia mwandishi wa habari" kwa sababu saa nyingine unaweza usipigane na mtu kwa maana ya kujibu mapigo siyo kwa sababu huna uwezo huo ila inawezekana ni kutokana na ustaarabu ulionao.Hata mi nashangaa... huyu mtu mwenyewe anaonekana amechokachoka tu... anakupigaje?