zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
umeona eeh? Ccm hoja zao dhaifu sana. Ni kama mtu aliyevaa kaptula kichwani na kuacha utupu nje halafu anamcheka alovaa kaptula kiunoni. Hahaaa, pole Ritz.
Hoja ya chadema ni ipi zaidi ya kurukia hoja za CCM?