Hey sis
sijui nilikuwa nafikiria nini
mpaka nikachakachua hivyo...
Sijui mi besdei yangu nani ataianzishia sredi??:lol:
Ah kumbe ulikuwa bado hujaniuliza Laaziz?? Mwenzio nshaanza kufungasha!! ...........Haya nimestopisha uniulize basi.
Happy birthday Derimto! May our living GOD bless you to 100 years!
......................Mh mwanaume wa kibantu ni wa kibantu tu...............yaani badala ya kusema ngoja nimtafute MJ1 tujifiche tufungue wote we unanbagua...................Nirudishie birthday yangu.
DA huwezijua bana maana hawa wako ready utadhani kunguru wa zenj. ukizubaa tu umeliwa.....
HAPPY birthday Hubby.