Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,528
- 175,555
Si inaoshwa na Ikeda ipoKwahiyo gari yangu inuke mavi sio
Si inaoshwa na Ikeda ipoKwahiyo gari yangu inuke mavi sio
Yani tu sikuwezi 😂😂Kwanini hapana na sio ndio?
Mahesabu huku ikimwagiwa makojo kila siku nyie vijana wahun sana nyie, seat za gari zina madoa ya nyege😌Ila tuende mbele turud nyuma kama angekua analeta hesabu zinazoeleweka usingemtimua maana kupata kijana wa kuleta hesabu mjini ndo kipengele
Kivipi paskali? Pisikali sorryYani tu sikuwezi 😂😂
Asee nimecheka kama mazuri. Pole sana mkuu, bora uligundua hilo mapemaWakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.
Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.
Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.
Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.
Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.
Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Sahivi nikipanda gari ya mtu nakagua seat 🤣🤣seat za gari zina madoa ya nyege😌
Duh Huyu Mwamba ni mtu mbadi kiwango cha SGR. Anafanya vijana wote tusiaminike sasa!Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.
Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.
Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.
Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.
Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.
Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Una mambo mengi sana😃😃Kivipi paskali? Pisikali sorry
Upuzi huo kabisaMahesabu huku ikimwagiwa makojo kila siku nyie vijana wahun sana nyie, seat za gari zina madoa ya nyege
Haina shida zinabadilishwaMahesabu huku ikimwagiwa makojo kila siku nyie vijana wahun sana nyie, seat za gari zina madoa ya nyege😌
Wewe ndio utakuwa tulizo langu mrembo. Wakati mwingine mapungufu yetu huhitaji watu wa kuwa nao ili tuwe kwenye right track,, hope you're the one for me🥰🥰Una mambo mengi sana😃😃
😃😃😃😃,, anyway karibu sana 😌Wewe ndio utakuwa tulizo langu mrembo. Wakati mwingine mapungufu yetu huhitaji watu wa kuwa nao ili tuwe kwenye right track,, hope you're the one for me🥰🥰
Yeah, nakaribia. Im happy to see you understand that errone need somebody😃😃😃😃,, anyway karibu sana 😌
Naona walimu wa kiswahili mmeshakuja,, ila wewe jamaa hapana kwakweli
😉Yeah, nakaribia. Im happy to see you understand that errone need somebody
Kwani na yeye ni mwalimu 😃😃😃Ngoja Mpwayungu Village aje