Jamani acheni propaganda tuwe wakweli, DECI ni biashara ya upatu huwezi kuwalinganisha na Pride na wala hakuna ushindani wala maslahi yoyote.
Pride wanato mitaji kwa wajasiriamali wakati DECI wanachukua akiba za watu eti wanazipanda zikazae, hapa ushindani uko wapi?!!!
Pride wanato mitaji kwa wajasiriamali wakati DECI wanachukua akiba za watu eti wanazipanda zikazae, hapa ushindani uko wapi?!!!