DECI Tanzania: Ilivyoanza, ilipo na hatma yake

Have a look at this one, DECI might be another version of this one!!!!


If anyone has difficulty understanding the current world financial situation, the following should help....


Once upon a time in a village in Thailand , a man announced to the villagers that he would buy monkeys for $10.

The villagers seeing there were many monkeys around, went out to the forest and started catching them.
The man bought thousands at $10, but, as the supply started to diminish, the villagers stopped their efforts. The man further announced that he would now buy at $20. This renewed the efforts of the villagers and they started catching monkeys again.

Soon the supply diminished even further and people started going back to their farms. The offer rate increased to $25 and the supply of monkeys became so little that it was an effort to even see a monkey, let alone catch it!

The man now announced that he would buy monkeys at $50! However, since he had to go to the city on some business, his assistant would now act as buyer, on his behalf.

In the absence of the man, the assistant told the villagers: 'Look at all these monkeys in the big cage that the man has collected. I will sell them to you at $35 and when he returns from the city, you can sell them back to him for $50.'

The villagers squeezed together their savings and bought all the monkeys.

Then they never saw the man or his assistant again, only monkeys everywhere! Welcome to WALL STREET.

PS:You're allowed to circulate this one.
Fikirishi🤔
 
Hatimaye hili nalo limefikia mwisho...

Mzee MM nilipenda sana comments zako, ulielezea vitu kwa kina na ukahoji vizuri sana kuhusiana na DECÍ na mwisho ukatoa angalizo kuwa hii Decí itawafika point itawaliza watu

Leo yamejirudia kwa Kalynda

Ama kweli wapumbavu huzaliwa kila siku
 
Wacha we
kama ni wezi wamemuibia nani? ninao ndugu zangu wengi tu, nimewakopesha pesa, wakaenda kuziweka huko. wameshavuna mavuno karibia mawili. unaweza ukaweka hela za mtoto wako mmoja mmoja,dada zako hata shangazi nk. na utapata. kuna watu wanavuna karibia kila baada ya miezi mitatu, kutu kama million hadi tano pale, kwasababu waliweka zamani, na ile pesa waliyoingilia walishaipokea na wana kulaga faida. Kwa kifupi DESI SIO KWAMBA WANAKOPESHA AU NINI, NI SAWA NA UMEPANDA MTI WA MATUNDA, HIVYO UNAKUWA UNAVUNA KILA WAKATI HADI MTI HUO UTAKAPOZEEKA. unaweza ukavuna pesa za deci hadi miaka 50. ina faida sana. mimi nilifikiri ni wanigeria mwanzoni, nikaenda kuweka pesa pia, na nimepokea mihela kibao. wapo pale mabibo mwisho, watu wanapaki magari yao pale wanaweka hela na kuondoa. inasaidia sana, na kuna watz wengi wanaishi kwa hiyo.
 
Kweli uoga wako ndo umasikini wako
Wtz wengi ni waoga wa kujaribu vitu. Deci mwanzoni ilikuwa ni organisation ambayo ilikuwa ni special kwa walokole tu. walioianzisha ni walokole, na wanaoiendesha hadi sasa ni walokole, yaani watu kama mimi hapa ninayeandika, mlokole. ninaifahamu kiundani sana. the main purpose of this Deci, ilikuwa kama kuwainua walokole, waumini wa kanisa. lakini, kwasababu ulokole/wokovu unahitaji upendo, na watu walipolalamika(wasiokuwa walokole), Deci ikaamua kupokea hata wasio walokole. hadi sasa hivi inaendeshwa na watu wa Mungu, ninao wafahamu. wachungaji kibwena wameweka pesa zao kule na wanakula faida kila wakati. kuna waislam pia wengi sana, wengi wao wanawake, wameweka pesa hapo na wanapokea pesa kibao. wengine wamejenga kwa njia hii. kuna wakati mwingine huwa wanakatishwa tamaa halafu wanajaribu kuirudisha kwa walokole(kwasababu watu wengine wanawaletea fujo...sina uhakika na hilo ila) lakini huwa wanajirudi na kuendelea kuwapenda. in short, hii ilikuwa ni njia ya kusaidia walokole lakini kwa upendo, wamewapokea hata wasio walokole. walokole wanafaidika sana na hii, na wasio kuwa walokole pia. kila mtu anakaribishwa, lakini halazimishwi.

hii ni challenge kubwa kwa watu wa dini zingine, hasa zinazojifanya zina pesa. walokole wanasapotiana sana wao kwa wao, lakini wengine wamelala fofofo. hii nchi kwa kifupi, inaenda kuendeshwa na walokole, na ndio walioishika hii nchi kwa sasa. Mungu wao anawasaidia. angalia makanisa makubwa yanayojaa kila siku, na wachungaji wao wana influence kubwa sana, wanaweza wakafanya hivyo hata kisiasa mtu asipigiwe kura, na ikawa hivyo. kwasababu waumini wana imani sana na mchungaji. walokole wamejenga mashule mengi(pamoja na kwamba roman catholic na lutheran ndio vinara kwa hili). hii ni muhimu pia kwasababu, ulokole sasa haujawa wa dini moja, kuna walokole lutheran,roman na dini zingine, hivyo nawezakusema ukristo sasa umekuwa ulokole kwasababu movement ya waumini kwa sasa si kitu cha kushangaza toka dini moja kwenda ingine, zote zina feel one. kwa kifupi, kila kanisa kubwa hapa bongo, hata mikoani, yanajenga shule za kilokole, na watoto wanakuzwa kimazingira ya kilokole. wanapata sapoti hata kama hawana hela. wanasaidiana sana, na tunajivunia kwa hilo. Deci imesaidia walokole lukuki, mimi na my wife wangu pia, tuliweka hela ya mboga, na huwa tunachuma kila baada ya miezi mitatu zaidi ya million. hiyo ya mboga tu na mafuta ya gari. inatupa faida infact.
 
Usikukumbushe hiyo issue, kuna watu walijinyonga. Waliokuwa matapeli wa kilokole. Kila siku napayuka kuwa dini ni biashara hamsikii.
 
Mzee MM nilipenda sana comments zako, ulielezea vitu kwa kina na ukahoji vizuri sana kuhusiana na DECÍ na mwisho ukatoa angalizo kuwa hii Decí itawafika point itawaliza watu

Leo yamejirudia kwa Kalynda
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Walilizwa watu wengi ila serikali sijui huwa inasubiri mpaka watu walizwe. Angalia kaliyanda au QNET yani kama vile wanapata mlungula
 
Back
Top Bottom