Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
- Thread starter
- #121
Kama FF aeshindwa kujibu Swali Rahisi kama hili basi Ningewaomba Vijana wa Nape JF wamsaidie Mwenzao maana Kikongwe kimejikuta katika wakati Mgumu sana Wa Kusimimamia Kile Mabosi zake wanahubiri Majukwaani kwamba ROSTAM ni GAMBA Hatari sana kwa Mustakabali wa CCM