Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
wana JF,
Nafikiri tatizo kubwa la Tanzania ni kukosa MAFIA. Mafia iliyoiba sana na ku-invest Tanzania. Mafia wanaoona kuwa Tanzania ni yao. Mafia wanaotakiwa kuhakikisha kuwa sheria zinafuatwa. Watu hao wangelikuwa wanashughulikia maswala madogomadogo ambayo kwa kweli yanaleta kero. Maswala hayo mara nyingi serikali inakuwa inajifanya haioni ila yanaleta madhara yasiyotakiwa kuwepo nchini.
Kama wangelikuwepo nafikiri ingelibidi wadeal na RA kwanza. Huyu anatakiwa aonyeshwe Tanzania ina wenyewe. Pia wanakuja kwenye watu kama Wauwa Ma-albino. Maadamu serikali inasuasua, hawa jamaa wanaingia kazini na kufanya yale Pinda kasema. Mafisadi wote wanaoibia nchi na kupeleka pesa nje, hawa nao inabidi washughulikiwe. Mwisho wanaweza kuwa wanadeal hadi na watu kama huyu DC. Huyu anatekwa na yeye anatandikwa fimbo barabara na picha zinapelekwa kwa Waalimu na wao wajue kuwa mbaya wao na yeye kakipata. Ila ndiyo upuuzi wa vyeo vya KUZAWADIWA. Kibaya ni kuwa hata kumuondoa unakuta kazi maana MIJITU kama hii ina MGONGO huooo!!!
Nafikiri tatizo kubwa la Tanzania ni kukosa MAFIA. Mafia iliyoiba sana na ku-invest Tanzania. Mafia wanaoona kuwa Tanzania ni yao. Mafia wanaotakiwa kuhakikisha kuwa sheria zinafuatwa. Watu hao wangelikuwa wanashughulikia maswala madogomadogo ambayo kwa kweli yanaleta kero. Maswala hayo mara nyingi serikali inakuwa inajifanya haioni ila yanaleta madhara yasiyotakiwa kuwepo nchini.
Kama wangelikuwepo nafikiri ingelibidi wadeal na RA kwanza. Huyu anatakiwa aonyeshwe Tanzania ina wenyewe. Pia wanakuja kwenye watu kama Wauwa Ma-albino. Maadamu serikali inasuasua, hawa jamaa wanaingia kazini na kufanya yale Pinda kasema. Mafisadi wote wanaoibia nchi na kupeleka pesa nje, hawa nao inabidi washughulikiwe. Mwisho wanaweza kuwa wanadeal hadi na watu kama huyu DC. Huyu anatekwa na yeye anatandikwa fimbo barabara na picha zinapelekwa kwa Waalimu na wao wajue kuwa mbaya wao na yeye kakipata. Ila ndiyo upuuzi wa vyeo vya KUZAWADIWA. Kibaya ni kuwa hata kumuondoa unakuta kazi maana MIJITU kama hii ina MGONGO huooo!!!