Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Hivi jamani mnao watetea hao walimu kwa misingi ya haki za binadamu mnaju na hao wanafunzi pia wana haki zao?
Haki za binabamu ni sababu mojawapo .....soma vizuri post zilizopita kwa sababu zaidi!
mkuu wa wilaya kaamuru walimu 32 tu ndio wachapwe viboko kwani mnajua wilaya yake ina walimu wangapi?
Wewe analysis yako is very poor ...hata kungekuwa na walimu 10,000 akamchapa mmoja, bado tungemshambulia....hata angekuwa nae mmoja, kamchapa huyohuyo tungelia naye tu!
na sababu zilizotolewa kwa kuchapwa hao 32 tu hamkuzielewa?
Usidandie gari kwa mbele.....soma habari vizuri...sababu za kuchapwa zimetolewa!
JK huyu ni mfano wa viongozi wenye uchungu na watoto wa taifa hili mpandishe cheo. Tena ikibidi awe waziri mkuu ili viboko viwashukie mawaziri.[/QUOTE]
Na huyo JK kwa kutuangusha wa TZ kwenye issue kama;
Kutokana na mambo haya maisha ya watanzania yamekuwa ni ya shida mno, so kufuatana wewe na yeye rais tumtandike viboko?
- Inflation 13%
- Pembejeo bei juu e.g mbolea zaidi ya Ths 100,000 per bag
- Migomo ya wanafunzi re. suala la mikopo -80%,60%,40% or 0%
- Mgogoro wa zanzibar - ambao kaushindwa kuupa ufumbuzi
- Usanii kwenye issue za kifisadi re.EPA,Radar,Richmond,IPTL etc
- Ongeza mengine unayo yajua
Nakushauri utulie kwanza kabla ya kuchangia bw' mdogo!
Last edited: