DAWASA: Wateja na wananchi wanaohudumiwa na tanki la kisarawe, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa masaa 24

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
TANGAZO LA DHARURA

KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WATEJA WANAOHUDUMIWA NA TANKI LA KISARAWE


14.01.2024

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wanaohudumiwa na tanki la kisarawe kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa masaa 24 kuanzia saa 2 asubuhi siku ya jumapili tarehe 14 Januari 2024 hadi saa 2 asubuhi, siku ya jumatatu tarehe 15 Januari 2024.
IMG-20240114-WA0001.jpg

Sababu: Kuruhusu Matengenezo ya dharura katika Bomba kubwa KIGODI KISARAWE.

Maeneo yanayoathirika ni;
Kisarawe mjini, Chanika, Bangulo, kinyerezi, kibaga, ulongoni A, Ulongoni B, Mongo la ndege, Majumba Sita, Mwembeni, Zimbili, Kwalimbanga, Mnembwe,Majohe,Gongo la Mboto,Ubena,Pugu yote na Buyuni
IMG-20240114-WA0000.jpg

Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (bure) au
0735 202-121(WhatsApp tu)

Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano
 
Mbona huku kwetu siku ya nne leo hatuna maji hamna tangazo wala kuombwa radhi?
 
Hapo wakisema masaa 48 unaweza dhania muda mfupi, ila ni siku 2 izo.

Plus uswahili hapo utakuta siku 5.
 
TANGAZO LA DHARURA

KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WATEJA WANAOHUDUMIWA NA TANKI LA KISARAWE


14.01.2024

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wanaohudumiwa na tanki la kisarawe kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa masaa 24 kuanzia saa 2 asubuhi siku ya jumapili tarehe 14 Januari 2024 hadi saa 2 asubuhi, siku ya jumatatu tarehe 15 Januari 2024.
View attachment 2871451
Sababu: Kuruhusu Matengenezo ya dharura katika Bomba kubwa KIGODI KISARAWE.

Maeneo yanayoathirika ni;
Kisarawe mjini, Chanika, Bangulo, kinyerezi, kibaga, ulongoni A, Ulongoni B, Mongo la ndege, Majumba Sita, Mwembeni, Zimbili, Kwalimbanga, Mnembwe,Majohe,Gongo la Mboto,Ubena,Pugu yote na Buyuni
View attachment 2871450
Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (bure) au
0735 202-121(WhatsApp tu)

Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano
DAWASA TUNAOMBA MAJIBU SIKU YA TATU LEO MAJI HAYATOKI KIMARA MWISHO MAENEO YA AGHA KHAN KUSHUKA MAVURUNZA SHIDA NINI?HIVI HII NCHI KILA KITU MGAO KWELI TUTAWEZA?CCM MNA SIKU CHACHE SANA ZA KURINGA TUTAKUTANA TU KWENYE KURA MAANA NDOMMETUFIKISHA HAPA UMEME MGAO MAJI MGAO SUKARI FOLENI HAYA
 
Back
Top Bottom