Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 577
- 657
Kipato hicho hicho unatakiwa uwe na savings (akiba) maana majanga hayakwepeki, usisahau kufumbia macho misambwanda huko mtaani ukishindwa hutoboi miaka nenda rudi
Hahahaha mkuu, hivi dar huwa kuna baiskeli eee. Ngoja nianze kuzingatia.
Hizo ni tabia binafsi mkuu 😁😁😁Ukae Riverside au Sinza si pesa yote itaishia kwenye madanguro atleast Kimara
Dah nmetoka kupiga jana tu hesabu ya mwezi maana nlidownload app ya budget playstore ambayo nilikua naandika kila income na expenses nlizokuwa natumia mbona macho yaligeuka mekundu na nguvu kuniisha
Maana daily 20k mafuta gari
Daily 20k home na hapo baadh ya vitu vipo
Bills umeme,maji nk 50k
Chakula job 10k hpo ndo kujibana
Vocha
Na mengineyo.
NB;
Sinywi pombe wala si mtu wa starehe
Umefka mwsho wa mwezi Expenses zimegonga 3m+ nikawa kama nimemwagiwa maji
Kaz gani mfano?Hebu mpe mchanganuo mwepesi wa kubadili gia
Haya,tufanye anakaa tegeta anafanya kazi post!
Ova
Kama ni mwajiriwa wa serikali angalia makazi ya karibu na kazini, unafanya kazi tmk kwanini ukakae Kimara? au tegeta? Panga hapo Mbagala, buza n.k.Huyu ni mwajiriwa wa serikali atawezaje kuamua sehemu ya kwenda kufanya kazi?
Pengine atakuwa amejenga mbali ndiyo maana analalamika kuhusu nauli kwasababu sio yeye Tu wapo wengi ambao wamejenga nje ya mji na wanafanya kazi city centreKama ni mwajiriwa wa serikali angalia makazi ya karibu na kazini, unafanya kazi tmk kwanini ukakae Kimara? au tegeta? Panga hapo Mbagala, buza n.k.
Usiishi sehemu kwa kufata mkumbo, hasa marafiki na ndugu, angalia unafuu wako wa kufika kazini tu.
Mfano mm wakati naanza maisha nilitaka kukaa karibu na kazi yangu lakini kwa sababu ni Mbagala ndugu walinisema sana, unakaeje Mbagala kama..... Mm sikuskiliza leo wenyewe wamekubali na kuacha kunishangaa kama mwanzo na ili waone mm ni mtu wa msimamo nimenunua kiwanja sehemu wasioikubali kabisa yan mbali nao, ila mm naangalia kipato changu sio chao.
MATOKEO YA MAISHA YAKO YA BAADAYE NI WW MWENYEWE SIO NDUGU WALA MARAFIKI ZAKO.
Asee ni kweli mkuu lakini kama anashindwa kuresize iyo 10k ya nauli ili aweze kuilipa basi hali yake itakuwa ngumu, kwa mfumo wa Kiafrika pambana kuendana na mabadiliko, punguza matumizi yasiyo ya lazima ili ujazie iyo ya naul. Mambo mengine huwezi kubadili hata ufanye nini.Pengine atakuwa amejenga mbali ndiyo maana analalamika kuhusu nauli kwasababu sio yeye Tu wapo wengi ambao wamejenga nje ya mji na wanafanya kazi city centre