Safi sana Mungi
Mwigulu anasema Uslama wa Taifa ni chombo kitakatifu kisihojiwe kitu chochote, je hawapati fedha kuwokana na kodi ya Watanzania?
Acha kulia lia na hoja yako dhaifu hujui maana ya forum mbona kuna CV za kina Prof Majimarefu, Lusinde, Kombe, zinajadiliwa umekaa kimya kuona CV ya Mbowe unatokwa na povu...kama uwezi kuchangia kaa kimya tuache Watanzania tuwajadili viongozi wetu.
Ritz na magamba wenzako, mbona mnajadili hewa? Kwani hiyo CV ya Mbowe iko wapi? Mbona inafahamika kwamba wanao-update tovuti ya Bunge ni vilaza ambao hawajui wajibu wao? CV za wabunge wengi kwenye hiyo tovuti hazipo au hazijakaa sawa sawa. Mimi kwa mfano, nilisoma na Freeman Mbowe darasa moja pale Minaki Kidato cha Tano na Sita tukichukua HGE (1979/81) lakini haijaandikwa kwenye hiyo CV yake katika tovuti hiyo ya kichovu ya Bunge. Nyie vipi? Anzeni kwa kuikosoa hiyo tovuti ya Bunge badala ya kuanza kuzusha upuuzi kuhusu Kamanda Mbowe. Nafurahi kwamba Freeman hapendi kujibizana na majuha wa aina yenu.
Mods wa jukwaa hili sasa wamekua dhaifu hawana kazi nyingine zaidi ya kupiga watu BAN za uonevu humu ndani na ninashangaa sana sasa hivi Mods mnaacha hizi thread kuhusu CV za wabunge hazina maana yoyote kama kuna mtu anazitaka ni bora aende kwenye tovuti ya Bunge ataona mwenyewe Mods hii kitu rekebisheni Thread za CV hatuzitaki humu ndani
Apo hamna CV bana! Tutafute cv ya kamanda wetu ndo tuilete achen uzush bana!
Wewe umeshindwa nini kuileta hiyo CV ya "Kamanda" wako? acha ugoi goi peruzi bunge site utaikuta hiyo hiyo!
Kwani hii cv inamatatizo gani?Wacha porojo kama ulisoma na Mbowe sisi inatuhusu nini hii CV ipo kwenye tovuti ya bunge na Mbowe ni mbunge kwani yeye hajaiona mpaka wewe huwe msemaji wake, basi mpigie simu umwambie.
Tupe CV ya hicho kimwanaNasikia JK kaopoa kimwana kingine tena cha kiarabu!
Amesoma Chuo kikuu nje baada ya election ya 2005 alirudi Shule. Weka cv ya ukweli bwana
wale wote uliowaorodhesha hapo juu hawajatoa mchango wowote ktk taifa hili? We huna macho kweli,propaganda za kijinga kama hizo haziwafikishi popote ,hamna lolote nyie wauza sura tugamba wewe... tuwekee ya chenge, mwigulu,mkapa,ballali,karamagi,maige,mataka,kafumu,ndulu,werema,jaji wa kesi - lema na mpendazoe,pinda,nape...kisha tuambie cv zao zimeisaidia vipi nchi hii ....then peruuz na kudadis cv za lula da silva, abeid amani karume relate na michango yao kwa watu wao....
C.V to me sounds nothing to me , what sounds good is what you have inside your mind. i can make a sweet C.V but empty upstairs. C.V just direct employer to know who you are before Questions you. so to my side C.V are just somebody's words of arrangement