Made aw kubofya
Member
- May 8, 2012
- 56
- 12
Amesoma Chuo kikuu nje baada ya election ya 2005 alirudi Shule. Weka cv ya ukweli bwana
Mkuu ingekua vizuri kama ungeanzisha thread yako coz una mawazo mazuri na yanapotea kirahisi kwenye thread ya ajabu
Mods wa jukwaa hili sasa wamekua dhaifu hawana kazi nyingine zaidi ya kupiga watu BAN za uonevu humu ndani na ninashangaa sana sasa hivi Mods mnaacha hizi thread kuhusu CV za wabunge hazina maana yoyote kama kuna mtu anazitaka ni bora aende kwenye tovuti ya Bunge ataona mwenyewe Mods hii kitu rekebisheni Thread za CV hatuzitaki humu ndani
CV is nothing to us,Wat we need is wat he has inside hr!The guy is so smart!
Mods muwekeeni huyu Thread yake yenye title "Ni sahihi kuendelea kusema tuna usalama wa taifa au tumetengeneza hatari nyingine kubwa zaidi"USALAMA WA TAIFA
Taasisi hii kwa sasa naona imeshindwa Kazi ya Kulilinda Taifa pamoja na rasilimali zake. Nachofahamu hawa jamaa ilibidi wawe proactive kwenye kuibua pamoja na kupangua njama mbalimbali zenye athari kwa Taifa. Kazi ambayo inatakiwa kufanyika kwa siri huku wakiweka uadilifu mbele ili kuepuka mazingira ya uonevu kwa namna yeyote ile. ......
NB:
"Anayejimilikisha hati ya kutoa roho za wengine ajue nayeye hataishi milele ndani ya dunia hii iliyoumbwa na mwenyezi Mungu"
Mbowe kasoma Secondary gani mbona kaficha? Hawa viongozi mbona wajanja wajanja.
Fasheni hii. Unacopy cv ya mtu na kudelete contents na kupaste JF.
Unaonekana un a thread nyingi! kweeeeeeek!
Inatosha kabisa hii cv!
Acha kulia lia na hoja yako dhaifu hujui maana ya forum mbona kuna CV za kina Prof Majimarefu, Lusinde, Kombe, zinajadiliwa umekaa kimya kuona CV ya Mbowe unatokwa na povu...kama uwezi kuchangia kaa kimya tuache Watanzania tuwajadili viongozi wetu.