- Thread starter
- #81
Kwa hiyo na siku ya uchaguzi mtawasomba wazunguke nchi nzima
Mkuu wangu hiyo ndiyo akili ya panzi.
Kwa hiyo na siku ya uchaguzi mtawasomba wazunguke nchi nzima
Kuolewa kuzuri mkuu wangu ni lazima ufuate masharti ya bwana.
Katika kuficha aibu kesho na kuiongopea dunia kwamba kinaungwa mkono Arusha,chama cha wananchi-CUF kimepeleka maelfu ya wafuasi wake kutokea Dar kwenda Arusha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu amekutana na msururu wa mabasi yapatayo saba-7 yakiondoka Ubungo huku yakipambwa bendera za CUF na nyimbo za hamasa za wafuasi hao.
Wachunguzi wa siasa wanasema ni aibu kubwa kwa chama kusafirisha wafuasi umbali wa mwendo wa saa 10 kisa kujaza uwanja na kuhalalisha hila chafu dhidi ya vyama vingine.
Source:Facebook Wall Page-Mwasiwelwa Perfect.
Kweli hawa ni komedi
kama ni kweli basi itakuwa vichekesho yaani watoke na wanachama wao dar mpaka arusha ili wakawahutubie kwenye mikutano yao heeeh! sasaaa si bora wangefanya mikutano yao dar tu ili kuepuka gharama za usafiri,maladhi,nk labda kama wanasemina huko vinginevyo hao waratibu wa hiyo safari na mikutano wanamatatizo ya akili ...hii sio demoklasia
Tatizo la CDM ni kile waswahili wanachosema 'Kijiba cha roho' kwani wanapoona wenzao wamefanikia basi wao huwauma sana, huu ni ushadadiaji sana wa siasa bila kujua maana yake ni nini. CDM kila sehemu wanataka wao waonekana ni vinara , hata pale pasipo stahiki mfano misibani na makanisani. Km na cuf na wao wamekubalika arusha shida iko wapi? hii thread imekaa kimajungu, fitna, jazba na kimagumashi zaidi. Nenda kajipange upya , jana mmefanywa vibaya mza leo mmeanza mengine tena
Komedi ni wale waliwasilosha bajeti mbadala bila ya kuweka chanzo cha mapato.Hiyo vipi?
Katika kuficha aibu kesho na kuiongopea dunia kwamba kinaungwa mkono Arusha,chama cha wananchi-CUF kimepeleka maelfu ya wafuasi wake kutokea Dar kwenda Arusha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu amekutana na msururu wa mabasi yapatayo saba-7 yakiondoka Ubungo huku yakipambwa bendera za CUF na nyimbo za hamasa za wafuasi hao.
Wachunguzi wa siasa wanasema ni aibu kubwa kwa chama kusafirisha wafuasi umbali wa mwendo wa saa 10 kisa kujaza uwanja na kuhalalisha hila chafu dhidi ya vyama vingine.
Source:Facebook Wall Page-Mwasiwelwa Perfect.
Hiyo ndoayenu na magamba itawatesa sana
Tatizo la CDM ni kile waswahili wanachosema 'Kijiba cha roho' kwani wanapoona wenzao wamefanikia basi wao huwauma sana, huu ni ushadadiaji sana wa siasa bila kujua maana yake ni nini. CDM kila sehemu wanataka wao waonekana ni vinara , hata pale pasipo stahiki mfano misibani na makanisani. Km na cuf na wao wamekubalika arusha shida iko wapi? hii thread imekaa kimajungu, fitna, jazba na kimagumashi zaidi. Nenda kajipange upya , jana mmefanywa vibaya mza leo mmeanza mengine tena
Katika kuficha aibu kesho na kuiongopea dunia kwamba kinaungwa mkono Arusha,chama cha wananchi-CUF kimepeleka maelfu ya wafuasi wake kutokea Dar kwenda Arusha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu amekutana na msururu wa mabasi yapatayo saba-7 yakiondoka Ubungo huku yakipambwa bendera za CUF na nyimbo za hamasa za wafuasi hao.
Wachunguzi wa siasa wanasema ni aibu kubwa kwa chama kusafirisha wafuasi umbali wa mwendo wa saa 10 kisa kujaza uwanja na kuhalalisha hila chafu dhidi ya vyama vingine.
Source:Facebook Wall Page-Mwasiwelwa Perfect.
Na nyumba kadhaa za ibada si ajabu zikatumika kuhimiza watu kwenda mkutanoni.
hili limekuwa likitokea najana nilinitinga kwenye nyumba ya ibada tuli hamasishwa kwenda kwenda kumpokea lipumba na baadae tuendekwenye mkutano pia tulipewa vipeperushi..leo tumeambiwa kutakuwa na wasanii kama afande sele...
Kama wanatoa coaster zaidi ya 10 dar, itakuaje kwa Tanga?
Kumbuka Tanga na Zenji ni karibu sana pia.....tehe tehe tehe
Wekeni picha
Mkuu wangu kusafirisha watu Dar hadi Arusha kisa mkutano ni ujinga uliopitiliza.