wakodi hata behewa 20 za train kwenda Arusha! wataisoma namba ya M4C! MKE KAPEWA MAJUKUMU NA NI LAZIMA ATII LA SIVYO ATATALAKIWA, wanajua kuna vimwana vingine vinanyemela kuolewa na nyinyiem, kwa hiyo inabidi wajitume vilivyo. Mme kaacha hela ya manunuzi, mke anapaswa kwenda kufanya manunuzi