Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
Nani kamfungulia Boko Haram huyu? Mbona kama alikuwa kafungiwa huyu?
nimepitia topic zote nilizoziona zinazo husu mkutano wa CUF ulifanyika hapa Arusha nimegundua watu wana chuki sana na CUF lakini nawakumbusha wana chadema siasa sio chuki wala hakuna makosa yoyote watu kutoka dar es salaam kuja hapa Arusha mbona kipindi cha mgogoro wa umeya Arusha mjini walikuja watu kutoka Moshi sikusikia chochote au ndio sera za majimbo lakini siomakosa yenu mulizoea kutawala Arusha bila chama chochote kufanya mkutano lazima mushituke lakini kama ulihudhuria kwenye mkutano hakuna matusi wala kumbeza kiongozi yoyote wa chadema kuweni wastaarabu
nilimuona yule makamu wa mwenyekiti wa CUF zanzibar akiwaalika wote mjiunge na chama chao. Mnakaribishwa sana wote boko haram, al shabab, al nini sijui nk.
Watu kama wewe ni cuf asilia hata jina lenyewe linaashiria hivyo maana unaitwa Boko Haramu. lazima tushtuke maana watu wa Boko Haramu kama ninyi kuja Arusha ni kuhatarisha amani na utulivu wetu, kwani hatutajua ni lini na wapi mtaanzia kujilipua ili kujitoa muhanga.nimepitia topic zote nilizoziona zinazo husu mkutano wa CUF ulifanyika hapa Arusha nimegundua watu wana chuki sana na CUF lakini nawakumbusha wana chadema siasa sio chuki wala hakuna makosa yoyote watu kutoka dar es salaam kuja hapa Arusha mbona kipindi cha mgogoro wa umeya Arusha mjini walikuja watu kutoka Moshi sikusikia chochote au ndio sera za majimbo lakini siomakosa yenu mulizoea kutawala Arusha bila chama chochote kufanya mkutano lazima mushituke lakini kama ulihudhuria kwenye mkutano hakuna matusi wala kumbeza kiongozi yoyote wa chadema kuweni wastaarabu
cuf hawawezi mziki wa arusha,kama ulikuwa mjini leo nadhan umeona jinsi cdm inavyopendwa arusha,watu wengi wakitokea mahakani wakielekea ofisi za chadema,kweli cdm arusha ndo habari ya mjini,viva cdm
nimepitia topic zote nilizoziona zinazo husu mkutano wa CUF ulifanyika hapa Arusha nimegundua watu wana chuki sana na CUF lakini nawakumbusha wana chadema siasa sio chuki wala hakuna makosa yoyote watu kutoka dar es salaam kuja hapa Arusha mbona kipindi cha mgogoro wa umeya Arusha mjini walikuja watu kutoka Moshi sikusikia chochote au ndio sera za majimbo lakini siomakosa yenu mulizoea kutawala Arusha bila chama chochote kufanya mkutano lazima mushituke lakini kama ulihudhuria kwenye mkutano hakuna matusi wala kumbeza kiongozi yoyote wa chadema kuweni wastaarabu
Mkuu Boko haram , hawa jamaa CUF Arusha walisoma alama za Nyakati, walijua wazi kuwa wangeleta zile Lugha zao za Mipasho kama za pale Jangwani asee Jombaa hamna rangi wangeacha ona Arushanimepitia topic zote nilizoziona zinazo husu mkutano wa CUF ulifanyika hapa Arusha nimegundua watu wana chuki sana na CUF lakini nawakumbusha wana chadema siasa sio chuki wala hakuna makosa yoyote watu kutoka dar es salaam kuja hapa Arusha mbona kipindi cha mgogoro wa umeya Arusha mjini walikuja watu kutoka Moshi sikusikia chochote au ndio sera za majimbo lakini siomakosa yenu mulizoea kutawala Arusha bila chama chochote kufanya mkutano lazima mushituke lakini kama ulihudhuria kwenye mkutano hakuna matusi wala kumbeza kiongozi yoyote wa chadema kuweni wastaarabu
Mkuu, tumsamehe Bure, jina lake na Avatar yake ( Boko haram ) vinavyo reveal ni mtu wa aina ganiMkuu hiyo thread title na hii content mbona sivielewi...kwa sababu umeandika kana kwamba wachangiaji katika hizo "topic ulizosoma" ni wa CHADEMA!!