Mkuu kesho muwe Live kutupa kila kinachoendelea.
Katika kuficha aibu kesho na kuiongopea dunia kwamba kinaungwa mkono Arusha,chama cha wananchi-CUF kimepeleka maelfu ya wafuasi wake kutokea Dar kwenda Arusha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu amekutana na msururu wa mabasi yapatayo saba-7 yakiondoka Ubungo huku yakipambwa bendera za CUF na nyimbo za hamasa za wafuasi hao.
Wachunguzi wa siasa wanasema ni aibu kubwa kwa chama kusafirisha wafuasi umbali wa mwendo wa saa 10 kisa kujaza uwanja na kuhalalisha hila chafu dhidi ya vyama vingine.
Source:Facebook Wall Page-Mwasiwelwa Perfect.
kama ni kweli basi itakuwa vichekesho yaani watoke na wanachama wao dar mpaka arusha ili wakawahutubie kwenye mikutano yao heeeh! sasaaa si bora wangefanya mikutano yao dar tu ili kuepuka gharama za usafiri,maladhi,nk labda kama wanasemina huko vinginevyo hao waratibu wa hiyo safari na mikutano wanamatatizo ya akili ...hii sio demoklasia
Mkuu kesho muwe Live kutupa kila kinachoendelea.
Huyo Prof wao hata hesabu hajui au kasahau, si angewachukua Tanga ndio karibu.
Katika kuficha aibu kesho na kuiongopea dunia kwamba kinaungwa mkono Arusha,chama cha wananchi-CUF kimepeleka maelfu ya wafuasi wake kutokea Dar kwenda Arusha.Kwa mujibu wa shuhuda wetu amekutana na msururu wa mabasi yapatayo saba-7 yakiondoka Ubungo huku yakipambwa bendera za CUF na nyimbo za hamasa za wafuasi hao.
Wachunguzi wa siasa wanasema ni aibu kubwa kwa chama kusafirisha wafuasi umbali wa mwendo wa saa 10 kisa kujaza uwanja na kuhalalisha hila chafu dhidi ya vyama vingine.
Source:Facebook Wall Page-Mwasiwelwa Perfect.
Huyo Prof wao hata hesabu hajui au kasahau, si angewachukua Tanga ndio karibu.
Usihofu Mkuu, nitakuwepo maeneo ya Kwangulelo kuanzia saa tano asubuhi nikiwasubiri. Nitaendanao hadi eneo la mkutano! Nashukuru kamchina kangu kanauwezo wa ku"upload!"
Nipo TANGA na wiki sasa hapa mjini sijaona hiyo support yao, mji upo kimya sana na hakuna harakati za kisiasa zaidi ya siku moja nilikuta mkutano wa CHADEMA maeneo ya barabar ya 13/14.
Kama SSM? Si Arusha hakuna kitu? Kapa!!! Wataweweseka mwaka huu!!! Magamba si wamewamwagia hela ili wazunguke kutuliza ghasia? Ops kuzima moto!!!! Moto wa umeme/petrol hauzimwi kwa maji!!
Kwani CUF ina hasara gani wakati mume ndio anagharamia?
just kujikaanga kwa mafuta yao! maji ya moto hayaunguzi nyumba!
Kwani CUF ina hasara gani wakati mume ndio anagharamia?
Hawa wanaenda kufanya fujo na anayetafutwa ni chadema wala siyo mkutanoM wametumwa hao cha kufanya ni kuachana nao maana hawataathiri chcochote hapo nyumbani kwa chadema!
Kwa hiyo na siku ya uchaguzi mtawasomba wazunguke nchi nzimaNi utaratibu wa chama chetuu!
Kwani hamjui siasa!
Nawengine watatoka tanga!
MWASHANGAA NII?