Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,112
Hakuna shida ya Ardhi Tanganyika tuna ardhi ya kutosha kabisa tena hata Dar es salaam bado kuna mapori kama msitu wa Pande ambako wanapewa viwanja waathirka wa mafuriko.hahahha.nakuonea Huruma, yaani mumeua nchi yenu bure?Hkauna mtanganyika anaemiliki Ardhi zanzibar, hakuna kugombea udiwani hata Ubunge
Zanzibar nzima ni sawa na jimbo moja tu la Ubungo kura alizopata Mnyika ni sawa na kura alizopata Dr Shein Zanzibar nzima.