Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,962
Usolijua ni kama usiku wa kiza kinene.
Maalim Seif si tu katibu mkuu wa CUF taifa bali pia ni makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Je Hamad rashid ni nani?
maalim ameunguruma kwa nguvu zote manzese na ving'ora kibao , je Hamad rashid kaunguruma wapi? au habari maelezo?
Hivi si ni maalim Seif huyu aliekuwa anawalaumu viongozi wa Serikali ya CCM kutumia magari ya serkali kwa shughuli za chama? je ni sawa kwa yeye sasa hivi kutumia resource za serikali kwa shughuli za chama? kweli unafki ni ugonjwa mbaya sana.