hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Zaidi ya wanachama 1000 wa chama cha wananchi CUF wa jijini Mwanza wamejivua uanachama wao Leo wakiweka wazi kumuunga MKONO Mbunge wa WAWI Mhe. Hamad Rashid na pia kuonyesha ni namna gani wamechoshwa na uongozi wa kidikteta uliopitiliza katika chama hicho.
Hali hii inaonyesha wazi kuwa ile dhamira ya viongozi wa chama hicho ya kutoweka nguvu bara ilivyokiathiri chama hicho.
Habari za ndani zinadai kuwa Huu Ni mwanzo tu kwani kuna uwezekano mkubwa wa wanachama na viongozi wa kubwa zaidi ndani ya chama hicho kujiondoa wakimuunga MKONO hamad rashid na fununu zaidi zinasema wimbi hili linaweza kuendelea katika mikoa ya tanga, dar es salaam na mingine mingi ambayo ndio Kama base ya chama hiki kwa bara.
Habari za uhakika zinasema waliojiondoa Ni pamoja na viongozi waandamizi wa chama hicho JIJINI......habari zaidi tazama star tv jioni ya Leo.
Hali hii inaonyesha wazi kuwa ile dhamira ya viongozi wa chama hicho ya kutoweka nguvu bara ilivyokiathiri chama hicho.
Habari za ndani zinadai kuwa Huu Ni mwanzo tu kwani kuna uwezekano mkubwa wa wanachama na viongozi wa kubwa zaidi ndani ya chama hicho kujiondoa wakimuunga MKONO hamad rashid na fununu zaidi zinasema wimbi hili linaweza kuendelea katika mikoa ya tanga, dar es salaam na mingine mingi ambayo ndio Kama base ya chama hiki kwa bara.
Habari za uhakika zinasema waliojiondoa Ni pamoja na viongozi waandamizi wa chama hicho JIJINI......habari zaidi tazama star tv jioni ya Leo.