Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mkuu Mwita Maranya, ni heri kwanza ujue unajadiliana na mtu wa namna gani kwani wapo wengine utadhani chizi, mara oh, wanataka kunya nje ya jengo, mara oh wanataka kuvua nguo na kuziweka kichwani, mara oh mimi blah blah blah...
Hebu shuhudia huu mtiririko;
Kaazi kweli kweli...
Mag3,
Huyu mpemba anarukaruka tu kama kunguru wa zanzibar. Mwishowe kajifunga mwenyewe magoli na bila ajizi tumemnasa.