Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Jazba zote hizi kuhusiana na hii mada hazina tija kwa Chadema.
Matokeao ya viongozi wa chama kuwa hostile kwa vyama vingine vyote (CCM, CUF, NCCR, TLP) si mazuri.
Very soon tutaanza kujiuliza tulidondokea wapi?...
Kwa mwenendo huu.... I'm afraid our dear Chadema is heading into a ditch..... take my word.
Matokeao ya viongozi wa chama kuwa hostile kwa vyama vingine vyote (CCM, CUF, NCCR, TLP) si mazuri.
Very soon tutaanza kujiuliza tulidondokea wapi?...
Kwa mwenendo huu.... I'm afraid our dear Chadema is heading into a ditch..... take my word.