johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,724
- 145,604
Namshauri tu Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu aanze kuhamasisha mabadiliko ya Katiba kwenye UKAWA yaani CUF na CHADEMA.
Prof Lipumba, Mzee Cheyo na Mhe. Mbowe ni miungu Watu hawa kwenye vyama vyao.
Sifa ya Taasisi zinazoongozwa na miungu Watu utaziona nyakati za Chaguzi Zao za ndani, mungu Mtu huwa haguswi.
Pentekoste Njema 😀😀🌟
Prof Lipumba, Mzee Cheyo na Mhe. Mbowe ni miungu Watu hawa kwenye vyama vyao.
Sifa ya Taasisi zinazoongozwa na miungu Watu utaziona nyakati za Chaguzi Zao za ndani, mungu Mtu huwa haguswi.
Pentekoste Njema 😀😀🌟