Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Chama cha wananchi CUF leo tarehe 9/9/2012 watanzindua kamaoeni mchakamchaka itakayodumu hadi mwaka 2015 na bila kulala wala kupumzika katika lengo la kuikomboa nchi katika mikono ya CCM na mafisadi ikiongozwa na mwenyekiti wake Prof Haruna Lipumba ikitarajiwa kurushwa live na TBC1