Congress tells Obama to sanction Tanzania and Tuvalu for helping Iran

Mzalendo JR

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,193
515
Now that President Barack Obama has signed the latest new sanctions bill on Iran, lawmakers are urging him to enforce it, starting with penalties against governments that reflag Iranian tankers, namely Tuvalu and Tanzania.

House Foreign Affairs Committee ranking Democrat Howard Berman (D-CA) responded to
reports that the government of Tuvalu has reflagged 36 Iranian tankers by writing to Secretary of State Hillary Clintonand Treasury Secretary Tim Geithner yesterday that they should enforce the new law and punish the Tuvaluans.

"The legislation makes clear the Congressional intent that sanctions are to be used to counteract Iran's shipping operations that help support its weapons program and terrorism," Berman wrote.

On July 9, Berman wrote to the
Tuvalu prime minister to urge him to stop reflagging Iranian ships. The Tuvalu government responded with a letter saying its actions didn't violate U.N. sanctions and that the reflagged ships were only for storing oil and shipping to countries exempted by sanctions.

The Tanzanian government, which has also come under fire for reflagging Iranian tankers,
announced this weekthat it would de-register 36 Iranian ships that had been reflagged. But Berman said that while Tanzania has made progress, Tuvalu is still ignoring the pressure from the international community.

"The U.S. has had some success, most recently with the announcement by the Government of Tanzania that it is de-registering NITC vessels," Berman wrote to Clinton and Geithner. "However, with other governments, the U.S. must take more robust action."
Section 202 of the law, the Iran Threat Reduction and Syria Human Rights Act, calls for sanctions against any entity that assists Iran in concealing the identity of its vessels. Executive Order 13608 also authorizes sanctions and penalties against such entities.

Sens. Mark Kirk (R-IL) and Bob Menendez (D-NJ) wrote to Obama today to call on the administration to use both tools now to increase the pressure on countries that may be aiding Iran in reflagging its ships. They want Treasury to designate the Tanzania Zanzibar International Register of Shipping, based in the United Arab Emirates, and the Tuvalu Ship Registry, based in Singapore, for helping conceal the identity of ships belonging to the National Iranian Tanker Company (NITC), a sanctioned entity.

"The actions of the Tanzanian and Tuvaluan ship registries directly undermine the international community's ongoing diplomatic efforts to prevent Iran from obtaining nuclear and ballistic missile technology, and appear to be in violation of the legislation you just signed into law," the senators wrote.


Source: http://thecable.foreignpolicy.com/p...sanction_tuvalu_and_tanzania_for_helping_iran
 
Being super power sometimes is very exciting! Passing and enforcing laws internationally! It is well known that under normal circumstances one state can not pass laws to have effects on another state! But US does
 
Pamoja na haya MAGUNYA kutuingiza kwenye matatizo na BIG BROTHER bado eti yanatuwekea vizingiti kuingia Zanzibar eti lazima tuwe na passport SIC! Kwanini tusiyaache haya MAGUNYA halafu BIG BROTHER aya BOMB TO STONE AGE.
 
Kwa nijuavyo msimamo wa JK ni kwamba Marekani wanawaonea wa Iran. Aliwahi sema kwenye hotuba moja mwaka huu kwa lugha ya kejeli kwamba eti wa Iran wanataka kuzalisha umeme wanazuiliwa wakihisiwa wanataka kutengeneza bomb la nuclear.

Support ya ku-Reflag meli za mafuta za Iran ina baraka zoote za JK na ndio maana yuko kimya haongei. Badala ya Rais kushabikia Iran kwa sababu tu ni nchi ya Kiislamu naomba aangalie upande mwingine wa shilingi ambao unahusu madhara watakayopata waTZ wa dini zote kama US itaamua kutuwekea Vikwazo vyovyote.

Namsihi ushabiki wa kidini usimpofushe akajikuta anawatoa sadaka waTZ huku yeye na familia yake wakiendelea na maisha matamu sehemu nyingine bila usumbufu.
 
MVUMBUZI

Huyu jamaa anataka kutusababishia madhara makubwa hapa duniani akicheza 2015 itakuwa mbali kwake ohoooooo!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
nimjuavyo jk, sio udini, tatizo ni matajiri wanamuamulia, hapa kwali ni twafa!!! wao wanapeta. mawaziri bungeni wanatetea kundi lao, kiujanjaujanja
 
VIKWAZO TENA lo! Jk, sio udini, tatizo ni matajiri wanamuamulia, hapa kweli ni twafa!!! wao wanapeta. mawaziri bungeni wanatetea kundi lao, kiujanjaujanja, hembu waone bungeni wanatetea , wanateteana..kiukweli mimi siamini chadema,cuf wala sisiemu, lakini naamini jk ni mwanadiplomasia wa muda mrefu. Hivi ni kweli hajui marekeani inapower na inakiwa kujiimarisha wenyewe na sio kuchokonoa na kuwachokoza? Naamini anajua kuwa wananchi tutateseka. Jamani hatutamudu vikwazo hata vya asplini.
 
usimchezee marekani jamani

halafu eti tunawashangaa mababu zetu kina chifu magungo kutawaliwa na mkoloni,wakati tunarudia makosa yaleyale..kwani ugomvi wa marekani na iran unatuhusu nini sisi.?
 
Siri zote zitafichuka kwani tunatawaliwa na majambazi yasiyo na huruma, Tusibiri bomu lingine la JK na mama Banda, haiwezekani ziwa letu liende malawi JK anauza kila kitu.

Mimi niliwahi kujiuliza swali la kijinga kwamba: ni kwa nini kuna vituo vingi sana vya mafuta vinajengwa tena kwa kasi kubwa along the highways in Tanznia??? sikupata jibu, lakini baada ya saga la Iranian vessels with Tanzania flags nipata jibu kumbe vile vituo vilikuwa vikitumika kama storage facilities kwa mafuta ya Mabrushi wa irani.

Leo Riziwani ni mfanya biashara mkubwa wa mafuta unashangaa experience kapata wapi kumbe ni mafuta ya Irani.Ama kweli Tanzania ni zaidi ya ugali
 
Kuna mtu mmoja alisema juzi eti Rais wetu ni omba omba.Hivi ni nani yule aliyasema haya na kisha kuhojiwa kwa masaa manne police!
 
Wamerekani wnatakiwa waweke mkono wao mpaka kwenye chaguzi zetu 2015, hawa ccm wamekuwa wakifadhiriwa na IRAN wakati wa chaguzi, pesa haramu za Iran hazijaenza leo, najua FBI wanaingia sana JF tuko nao kila siku tunaomba waelewe kuwa wa-iran hawajaanza leo, ukiangalia vitu vyote vya mafuta pembeni kuna msikiti why>????? mbona kanisa hamna pembeni yake??? ina maana mafuta hayo ni kwa muslim pekee????? fbi fungueni macho cunhguzeni na vituo nchi yetu ni kituo kikuu cha IRAN
 
Kichwa tofauti na habari. Jamani jifunzeni kusoma na kuelewa.

Mie ingawa sipendi mambo mengi ya serikali ya TZ, naipongeza kwa kuuona ukali wa moto huu na kunywea mapema.
 
Wabongo tumekubali fasta kuziondolea registration [pamoja n amkwara wote ule tulipoiga kumbe ni bure tu!!!
 
Kichwa tofauti na habari. Jamani jifunzeni kusoma na kuelewa.

Mie ingawa sipendi mambo mengi ya serikali ya TZ, naipongeza kwa kuuona ukali wa moto huu na kunywea mapema.

Kiranga, tatizo sio kunywea baada ya moto kuwa mkali, tatizo ni kwanini tulilianzishaaa??? Does it mean viongozi husika hawakuliona hilo au ni UZUZU wao???
 
Back
Top Bottom