Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
Unajua Watanzania wengi sana wanafikiri Americans are innocent yaani wao wanaonewa sana wakati kuna vitabu na documentary zinaonyesha ushenzi wao.Mshikaji ukivisoma au kuoona mipango wanayoifanya nyuma ya pazia Tuuuu!. ndio maana wanampiga vita kubwa Asange wa wikileaks..
Ujinga sio wa kusoma tu kuna Ujinga hata wa kuelewa hali halisi (exposure).. kama hujawahi kumuona Simba machoni basi una ujinga fulani japokuwa umesoma mambo mengi kuhusu Simba, hi ndio reality. Ebu jaribu kupata nakala ya kitabu japo kimoja (Rodney Stich) toka hivi hapa chini ya ukurasa huu:- Bofya
Mkuu wangu Mkandara, nimeipenda hii...
America's Blissfully Happy Victims
Last edited by a moderator: