Congress tells Obama to sanction Tanzania and Tuvalu for helping Iran

Obama na Wamarekani wajue kua Zanzibar sio Tanzania. Kwa hiyo wanayofanya zenji haituhusu, kama wanataka kutoa sanctions basi wawape serikali ya Zenji. Sisi watanganyika hatuna kosa lolote.
 
Kunywea kaka haisaidii wenzako tayari wameshaona multiplier effect ya hicho kitendo.

Mwizi akikiri mahakamani kutenda kosa si mwanzo wa kufutiwa kosa, kosa lipo ila adhabu ndiyo inaweza kupunguzwa au kutokupunguzwa lakini iko palepale.

Acheni kujipa moyo subirini adhabu kutokana na ujinga wa viongozi wenu dhaifu.
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.

uCHUMI WAKO HAUKURUHUSU KUFANYA HAYO UNAYOSEMA KWANI MWISHO WA SIKU MAREKANI NDIYO MJENZI WA BARABARA ZAKO.
HAYO UNAYOSEMA NI MWAFRIKA MMOJA TU ALIWAHI KUYAFANYA NAYE NI JULIUS KAMBARAGE NYERERE, YEYE ALITOKA NA SINGLE YAKE YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA NA WATANZANIA NA DUNIA WALIIMBA HIYO SINGO LEO KWA SERIKALI YENU DHAIFU LAZIMA MTII
 
What I know USA has permanent interest and not permanet friend so whoever goes against their interest is an enemy! MCC, USAID, MELINDA&BILL GATES FOUNDATION, CLINTON FOUNDATION na mataasisi mengine kibao ya wamarekani yako hapa kutusogeza kimaendeleo na mengine yanatoa ARV kwa waathirika.

Tuchague moja kwakuwa habari za Non-Aligned Movement zilishagapita. HAKUNA TENA KWENDA KULA BUTTER KWA OBAMA dah!
 
Obama na Wamarekani wajue kua Zanzibar sio Tanzania. Kwa hiyo wanayofanya zenji haituhusu, kama wanataka kutoa sanctions basi wawape serikali ya Zenji. Sisi watanganyika hatuna kosa lolote.
Hii haina tofauti na ile kesi ya kubaka ambapo wakili wa mtuhumiwa alimuomba hakimu kuwa mteja wake hana hatia bali kiungo kilichotumika kubaka ndio kina hatia na ndicho kinastahili kiadhibiwe. Hakim naye akamjibu hivi; Katika kutoa hukumu nimezingatia hilo hivyo kiungo kilichobaka kitaenda jela miaka 30 hivyo mwenyenacho anahiari ya kukisindikiza endapo atajiskia au kama hapendi atuachie hapa aende zake!
 
What i know USA has permanent interest and not permanet friend so whoever goes against their interest is an enemy! MCC, USAID, MELINDA&BILL GATES FOUNDATION, CLINTON FOUNDATION na mataasisi mengine kibao ya wamarekani yako hapa kutusogeza kimaendeleo na mengine yanatoa ARV kwa waathirika. Tuchague moja kwakuwa habari za Non-Aligned Movement zilishagapita. HAKUNA TENA KWENDA KULA BUTTER KWA OBAMA dah!

Tell them please.Ni kwamba hizo donor fund entities ulizota hapo zina mwaga mpunga wa kutosha leo ukipita kusini utao ile barabara ya masasi namtumbo utazimia ilivyo strategical, two years to come wasafiri toka songea hawatapita iringa tena.Halafu leo tz mnadiriki kuingia mikataba ya kihuni na IRANI you guy must pay the price, msituletee ushorobaro wa msoga.
 
Naombea 'Dhaifu' akitia tena mguu kwa Obama, waandishi wa habari huko wambane kisawasawa kuhusu hii issue...
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.

Kwa hiyo unatuambiaje? Tupigane nao au unahakika vikwazo vya USA haviwezi kuwa na madhara kwetu? Tuambie Cuba wakoje baada ya vikwazo? Na kama unaamini kwamba hivyo vikwazo havina madhara kama unavyotaka tukuamini kwa nini Iran yenyewe inatafuta njia za kukwepa kwa kusajili kisiri kwenye nchi zingine?
Mijitu mingine bana....! Huyo Jk mwenyewe kila siku ziara azke ni USA na siyo Iran, kwa nini?
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.

You don't have an iota of what you are talking about!

Azimio la kuiwekea vikwazo Iran lilipitishwa na Umoja wa Mataifa ambayo Tanzania ili support. USA na EU wapo pale kuhakikisha Azimio hilo linakuwa linatekelezwa.

Kama Russia na China zingekuwa hazitaki azimio hilo, lisingepita, kumbuka Russia na China zina kura ya VETO.

Lakini bado uamuzi mwisho ni wetu tuendelee to reflagging Iranians tankers ili Tanzania iwekewe vikwazo, au tukubali kufuata UN resolution tukose TENDE za Iran lakini tuepuke vikwazo vya USA and EU.

You don't need to be a rocket scientist to know which is a better side to choose!
 
Tujisikitikie kwa kuwa na viongozi vipofu. Hii ni hatari kwetu nafuu kunywea maana hatuangalii ya MCC tu lakini yako mengi ambayo US wakifreeze sote "tutakunya"
 
mimi nafikiri kikwazo cha kwanza ni kumpiga stop JK asitie mguu wake USA na ULAYA...itakua ni fimbo tosha sana...
 
Hali ya uchumi ni tete na hatuna vita wala vikwazo, lakini yote mawili yanatunyemelea kwa mpigo.

Mojawapo au yote mawili yakitokea basi itakuwa ni kujaziliza kikombe (to fill the cup) cha ubovu na udhaifu wa serikali hii ya ccm.

Lakini ni vema tuombe rehema kwa MUNGU, vinginevyo ni balaa.
 
Labda ulichosoma na kuamua kuanzisha huu uzi ni tofauti na ulichokibandika kama ushahidi wa uzi wako. Hakuna mahali katika taarifa uliyoweka kumesemekana Tanzania iwekewe vikwazo na Marekani. Wanapendekeza kampuni iliyoitia Tanzania katika matata haya iliyopo UAE iwekwe kwenye orodha ya kampuni zilizowekewa vikwazo
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.

mwenye msaada zaidi ndiyo anayesikilizwa.
Re-think critically.
 
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali,
Hayo maneno asije akaona Kikwete utafukuzwa kibaruani, kwani ndo muumini wa maisha bila marekani hayawezekani!
 
Back
Top Bottom