Congress tells Obama to sanction Tanzania and Tuvalu for helping Iran

Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.


We are not among those nations as Japan, China or Hong-Kong. Kumfungia China ni kuua uchumi wa USA indirectly but kwa upande wa Tanzania NI KUWAPUNGUZIA ziara za kuombwa misaada na utalii wa Ikulu kwao.
 
mimi nafikiri kikwazo cha kwanza ni kumpiga stop JK asitie mguu wake USA na ULAYA...itakua ni fimbo tosha sana...
na hujajiuliza hiyo 'jeuri' mama Joyce Banda anaipata wapi!?
Wale jamaa wana- emphasis zaidi matumizi ya akili na inawezekana wametuona jinsi tulivyolala kupita kiasi wakijua tu vikwazo vitatuamsha.

 
uCHUMI WAKO HAUKURUHUSU KUFANYA HAYO UNAYOSEMA KWANI MWISHO WA SIKU MAREKANI NDIYO MJENZI WA BARABARA ZAKO.
HAYO UNAYOSEMA NI MWAFRIKA MMOJA TU ALIWAHI KUYAFANYA NAYE NI JULIUS KAMBARAGE NYERERE, YEYE ALITOKA NA SINGLE YAKE YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA NA WATANZANIA NA DUNIA WALIIMBA HIYO SINGO LEO KWA SERIKALI YENU DHAIFU LAZIMA MTII

Kwa hiyo hata Chadema wakichuwa nchi lazima wawatumikie wazungu.
 
Kwa hiyo unatuambiaje? Tupigane nao au unahakika vikwazo vya USA haviwezi kuwa na madhara kwetu? Tuambie Cuba wakoje baada ya vikwazo? Na kama unaamini kwamba hivyo vikwazo havina madhara kama unavyotaka tukuamini kwa nini Iran yenyewe inatafuta njia za kukwepa kwa kusajili kisiri kwenye nchi zingine?
Mijitu mingine bana....! Huyo Jk mwenyewe kila siku ziara azke ni USA na siyo Iran, kwa nini?

Kwa hiyo hata Chadema wakichukuwa nchi ni marufuku kuwapinga wazungu kweli hii misaada itatumaliza.
 
Nakubaliana na wewe kabisa.

Watanzania walio wengi ufahamu wao ni mdogo sana, they think the US is here to protect them. Hawajui kwamba the US is here to finnish them off.

It's high time people understood the real intentions of the US government. Wanazungumza jambo moja halafu wanafanya lingine. These people can never be trusted. In short they are people you can't do business with.

Lakini niweke mambo wazi, it's the 1% that has problems, the 99% has got no problems, we are swimming in the same boat.
We are not among those nations as Japan, China or Hong-Kong. Kumfungia China ni kuua uchumi wa USA indirectly but kwa upande wa Tanzania NI KUWAPUNGUZIA ziara za kuombwa misaada na utalii wa Ikulu kwao.
 
Kwa hiyo hata Chadema wakichukuwa nchi ni marufuku kuwapinga wazungu kweli hii misaada itatumaliza.

Vikwazo vya Wamarekani haviangalii chama! Cha muhimu ujue unacheza karata zako; na sijui maana yako katika kupinga! Unataka kupinga kama kupinga bila kutumia akili kama punguani huku ukijua madhara yake?

Kumbuka hapa USA wanazungumzia TZ na taasisi zake, na sio cdm; mbona unadumaa kifikra!
 
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka!

 
Nakubaliana na wewe kabisa.Watanzania walio wengi ufahamu wao ni mdogo sana,they think the US is here to protect them.

Hawajui kwamba the US is here to finish them off.It's now time people understood the real intentions of the US government.Wanazungumza jambo moja halafu wanafanya lingine.These people can never be trusted.In short they are people you can't do business with.Lakini ni weke mambo wazi, it's the 1% that has problems,the 99% has got no problems,we are swimming in the same boat.
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia.

Leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka.

 
Kwa hiyo hata Chadema wakichukuwa nchi ni marufuku kuwapinga wazungu kweli hii misaada itatumaliza.

Its not CCM or CHADEMA, tuzungumzie utendaji wa serikali juu ya kufikia kutaka kuwekewa vikwazo na mataifa ya Dunia ya kwanza yote. Hii ni kwa sababu kikwazo toka USA tegemea kupata the same share from Britain and the like.
 
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka!


Soma tena between the lines!
Wote wanalalamikia utendaji wa serikali hasa katika nyanja za kimataifa. Hakuna anaefurahia sunctions hata mm1..."QUOTE them 4 CREDIT"
 
Kwa nijuavyo msimamo wa JK ni kwamba Marekani wanawaonea wa Iran. Aliwahi sema kwenye hotuba moja mwaka huu kwa lugha ya kejeli kwamba eti wa Iran wanataka kuzalisha umeme wanazuiliwa wakihisiwa wanataka kutengeneza bomb la nuclear.

Support ya ku-Reflag meli za mafuta za Iran ina baraka zoote za JK na ndio maana yuko kimya haongei. Badala ya Rais kushabikia Iran kwa sababu tu ni nchi ya Kiislamu naomba aangalie upande mwingine wa shilingi ambao unahusu madhara watakayopata waTZ wa dini zote kama US itaamua kutuwekea Vikwazo vyovyote.

Namsihi ushabiki wa kidini usimpofushe akajikuta anawatoa sadaka waTZ huku yeye na familia yake wakiendelea na maisha matamu sehemu nyingine bila usumbufu.

Yaani huyu raisi wetu ni kilaza beyond belief....
 
Wakati mwemzako yupo dom yeye diamond na orijino komedi wanazndua mradi wa tatu wa TASAF
Nampenda Kikwete, stress free,
kama mtoto wa kindergaten kila siku anapoteza penseli
afu yuko pisi tu!
Mkkwerre hawezi kuugua ugonjwa wa presha.
 
Haaaa haya bana kweli mwisho wa dunia unakaribia kwa Tanzania pekee
We have many natural resources nadhani hatuna shida ya kuwa omba omba we got gas,Tanzanite,Diamond,Bauxite,Gold,Nyuklia,Fuel sasa kwanini hawa watu watuendeshe hivi tujitenge na hawa Wazenji ikiwezekana ili mwisho wa dunia usianzie kwetu
 
si ajabu wanataka kutupiga hawa wamarekani..hebu angalia, wameona sisi tunawasapoti wairan, wakitaka kutupiga, si wanatumia malawi? kwani unafikiri wakiwapa malawi madege ya kivita ya kisasa kama hamsini hivi, mavifaru ya kisasa na silaha nyingi z akisasa, tz tutatia pua kwa malawi? tutapigwa kama mtoto mdogo nakwambia....tusijidai kuwa tu wengi ki population...kama ndo hivyo israel isingekuwepo duniani hivi leo kwa kuzungukwa na waarabu waliowengi. angalia sasaivi, pengine malawi ilikuwa inabip ili kuona kama tutawapigia, wameona tumewapigia, sasa pengine marekani na westeners wamewaambia wanyamaze kidogo hata mwaka mmoja tu, ndani ya mwaka huo watakuwa wanakusanya silaha na kuandaa jeshi kidogokidogo, watakapokuja kulianzisha, ni kututia adabu mtindo mmoja....labda na jeshi letu kwa sasa wakati malawi wanajifanya kutulia kumbe wanajiandaa na kuandaliwa na wamagaribi, tuwe tunawaconsult walau wachina tuwahonge hata ardhi etc watupatia mavifaa ya kisasa, labda tutasavaivu. mbona wamalawi wamekuja moto sana? kuna mkono wa magaribi hapo kutuchapa kwasababu ya urafiki na iran....
 
Watanzania wengi ni watumwa wa akili, wanaamini Marekani ndio wenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki.Ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.

Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini, wanataka adui wao awe adui wetu pia
na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali.

Tanzania ana kosa gani kuzisajili meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.

Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya?

Umepatia haswaa kuhusu Marekani na wenzao. Na ni kwa sababu hiyo hiyo Marekani haiwezi kuwa na haraka ya kuiwekea vikwazo Tanzania.

Mambo haya yatamalizwa taratibu bila mikwaruzo. Hivi sasa vibopa wa marekani wana dau kubwa sana katika rasilimali za Tanzania.

Wana hisa nzito katika makampuni yanayochimba madini na yanayojiandaa kufaidi uranium, gesi na hata mafuta yatakayogunduliwa.

Kwa uzito wa dau hilo, "wataishauri" tu Serikali ya TZ kufuta usajili huo wa meli za Iran,ushauri ambao si TZ wala ZNZ yenye ubavu wa kuubishia.
 
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka!


Na hili la vikwazo likipita juu ya Tz, cement na kokoto ya kufunikia kaburi la ccm zitakua zimeshapatikana. Kwani wd huoni kadri wananchi wanavyoumia ndivyo wanavyozidi kuichukia ccm?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom