Elections 2010 CONFIRMED: Joseph Mbilinyi (CHADEMA) atangazwa rasmi Mbunge wa Mbeya mjini

Originally Posted by magnet1 Acheni uzembe, sasa huyu zero anaenda kufanyanini bungeni au kwakua ni mkristo? Waislam mnataka wasemaje
Acha Mawazo mgando kwani Mpesya aliyeshindwa ni muislam? heshimu chaguo la wengi
 
Huyo magent1 ni maskini wa fikra!!!! udini kitu gani???? kwani waliokosa wote ni waislam??? au waloshindwa ni wakristo pekee??? inaonyesha ni jinsi gani waislamu mlivyona udini!!! shame upon 'em
 
CCM mna mpaka wabunge wenye elimu isiyokuwapo mfano. Elimu ya kujiendeleza, hii sijawahi kuisikia
 
Napita Tunduma hapa nakutana na maandamano makubwa ya wafuasi wa CHADEMA.
 
Sasa huyu Mr. Zero bungeni akafanye nini?? Chadema hapo mlifuka ilitakiwa kuangalia mambo mengi kuteua mgombea. Au kisa bongo fleva??? Bunge shule vijana sio sehemu ya kwenda tu. Ok yetu macho ndo ninyi wenywewe mtakao mkana 2015.
Vavene!,Mapembelo,jar people pale makambako kaishia std2,hajui kusoma wala kuandika,yaani ni mjinga kabisa achana na kuongea tu,unafikiri atawezaje kusoma vitabu vya miswada bungeni? THINK BEFORE YOU INK!
 
Back
Top Bottom