nyuki dume
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 435
- 32
Kuchaguwa wasanii mwishowe mtajilaumu
Vavene!,Mapembelo,jar people pale makambako kaishia std2,hajui kusoma wala kuandika,yaani ni mjinga kabisa achana na kuongea tu,unafikiri atawezaje kusoma vitabu vya miswada bungeni? THINK BEFORE YOU INK!Sasa huyu Mr. Zero bungeni akafanye nini?? Chadema hapo mlifuka ilitakiwa kuangalia mambo mengi kuteua mgombea. Au kisa bongo fleva??? Bunge shule vijana sio sehemu ya kwenda tu. Ok yetu macho ndo ninyi wenywewe mtakao mkana 2015.