sad sad ccm.....wapi malaria sugua????????
votes:
ccm: 34,412
chadema: 43,365
cuf: 9,131
nccr: 11,970
malaria sugu mbona haonekani kutoa tathmini ya uchaguzi
Kuliko kuipigia ccm kura mara mia nisipige kura maisha yangu yote
votes:
ccm: 34,412
chadema: 43,365
cuf: 9,131
nccr: 11,970
Inaelekea JF ni ya Chadema sisi CUF, NCCR-Mageuzi, TLP, Chausta.. twende wapi? Na nyinyi mnakuwa kama CCM umimi tu, CUF wamefanya vizuri Zenji, Lindi na huenda kule Kagera, NCCR-Mageuzi imefanya vizuri Kigoma hamuwapongezi na hivi viti vyenu 20 tayari nyodo CUF tokea 2000 huwa na viti zaidi ya 25 bungeni wacheni ushamba ! matokeo haya ni matunda ya mchakato wa demokrasia unavyozidi kupevuka nchini! CCM wan asema kama Nape Nnauye angegombea Ubungo, Mnyika asingeona ndani sijui kama kweli au hapana! Wacheni ubaguzi ....nyie wanaharakati..!:smile-big:
hakuna matokeo yaliyonifurahisha kama haya ya Mdee.
Ndugu upinzani wote tunafuraha kwa ccm kushindwa, ni post zinazotokea kwa muda huo leta habari za CUF tushangilie pamoja!Inaelekea JF ni ya Chadema sisi CUF, NCCR-Mageuzi, TLP, Chausta.. twende wapi? Na nyinyi mnakuwa kama CCM umimi tu, CUF wamefanya vizuri Zenji, Lindi na huenda kule Kagera, NCCR-Mageuzi imefanya vizuri Kigoma hamuwapongezi na hivi viti vyenu 20 tayari nyodo CUF tokea 2000 huwa na viti zaidi ya 25 bungeni wacheni ushamba ! matokeo haya ni matunda ya mchakato wa demokrasia unavyozidi kupevuka nchini! CCM wan asema kama Nape Nnauye angegombea Ubungo, Mnyika asingeona ndani sijui kama kweli au hapana! Wacheni ubaguzi ....nyie wanaharakati..!:smile-big:
Ushindi kwa chama chochote cha ushindani ni kitu cha kujivunia mimi ninajivunia ushindi wote wa ushindani kwa hiyo wote tupongezane kwa hilo. Cha maana ni lazima vyama vyote hivyo vifanye kazi pamoja bungeni na wasikubali kugawanywa.Inaelekea JF ni ya Chadema sisi CUF, NCCR-Mageuzi, TLP, Chausta.. twende wapi? Na nyinyi mnakuwa kama CCM umimi tu, CUF wamefanya vizuri Zenji, Lindi na huenda kule Kagera, NCCR-Mageuzi imefanya vizuri Kigoma hamuwapongezi na hivi viti vyenu 20 tayari nyodo CUF tokea 2000 huwa na viti zaidi ya 25 bungeni wacheni ushamba ! matokeo haya ni matunda ya mchakato wa demokrasia unavyozidi kupevuka nchini! CCM wan asema kama Nape Nnauye angegombea Ubungo, Mnyika asingeona ndani sijui kama kweli au hapana! Wacheni ubaguzi ....nyie wanaharakati..!:smile-big:
Hivi Halima is married??
Mi mwenyewe nipo nipo bado.