Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Maintenance, maintenance, maintanance! Tutaweza? Umeme ukikatika na wale walio orofa ya hamsini na saba watafanyaje?
Jasusi,
Mbona unakwenda mbali na hilo la umeme? Makuti yametushinda kuyazima yakiwaka moto sembuse ghorofa 60?