Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Wadau tokea majuzi Nimesikia Wimbo wa Taifa la Jamhuri la Tanzania Ukipigwa Kwenye Radio Ya Clouds FM Cha kushangaza huu Wimbo Umegeuzwa kama Kibwagizo unapigwa Ovyo Ovyo Na Kibaya Kabisa huo anayeuimba ana sauti mbaya iliyobanwa na Pua tena inawezekana huyo muimbaji aliyeimba pengine aliuimbia alipokuwa Washroom. kwa ujumla kila atakae usikia hatoweza kuupenda.
Huyu Mkurugenzi wa Clouds FM Mr. Kusaga asiachwe hivi hivi kwani hili nadhani ni kosa kwani huu wimbo kila mtanzania akiuimba au kuusikia ukiimbwa huupa Heshima zote na hili tulifundishwa Zamani.
Kama JK ana hisa na Hiyo Radio, Wote waombe Radhi kwa kuruhusu hili
Huyu Mkurugenzi wa Clouds FM Mr. Kusaga asiachwe hivi hivi kwani hili nadhani ni kosa kwani huu wimbo kila mtanzania akiuimba au kuusikia ukiimbwa huupa Heshima zote na hili tulifundishwa Zamani.
Kama JK ana hisa na Hiyo Radio, Wote waombe Radhi kwa kuruhusu hili