CLOUDS MEDIA NA WIMBO WA TAIFA

MWALLA

JF-Expert Member
Dec 12, 2006
16,992
10,497
hili la cluodsfm radio kupiga wimbo wa Taifa kila asubuhi.. hivi nani alishauri muwe mnapiga hii au ndo masharti ili chombo kiendelee kupata uhai.
wimbo huu hupigwa tu pale inapotokea dharula za kitaifa ama sherehe za kitaifa.
MNATUPA TAABU SANA...
kila siku nikiusikia nadhani kuna tukio jipya la kitaifa linatolewa taarifa kumbee ni promozenyu tu. MNABOA badilisheni huo sio wimbo wa kufanyia promo.
 
imeandikwa wapi kwenye katiba kuwa wimbo huo utapigwa kwennye matukio maalumu tu?
Umenikumbusha mbali...zamani kuonekana na bendera ya taifa au rangi ilikua issue...sasa anagalia taifa kama USA Kulivyo na "ownership" ya bendera kwa wananchi mpaki imekua international brand hata waisha magari msimbazi wanapepea bendera ya marekani na hawaulizwi.
 
h
ni uzalendo tu mkuu.
aukatazwi kupigwa ila sio upigwe kama kifungua kinywa. waangalie ni wapi panafaa kuutumia na sio kila siku. me nikiusikia huu nakumbuka ilee hotuba ya MZEE MKAPA alivolistua Taifa kwa taarifa yake...
 
h

aukatazwi kupigwa ila sio upigwe kama kifungua kinywa. waangalie ni wapi panafaa kuutumia na sio kila siku. me nikiusikia huu nakumbuka ilee hotuba ya MZEE MKAPA alivolistua Taifa kwa taarifa yake...
Upo kama mimi aisee.. nikiusikia kwa TV au radio lazima niikumbuke ile siku basi nakaa mkao kupata news zinazofanana na ile
 
Upo kama mimi aisee.. nikiusikia kwa TV au radio lazima niikumbuke ile siku basi nakaa mkao kupata news zinazofanana na ile
umeonaeeee... yaani naona kama cloudsfm wamekurupuka. huu wimbo una miaka zaidi ya 55 sijawahi kuusikia ukipigwa kama kibwagizo.
wameshindwa kuwa wabunifu kama RTD enzi zake ikifika taarifa ya habari walikuwa wanatupigia zile ngoma za msukuma NG'WINAMILA
 
umeonaeeee... yaani naona kama cloudsfm wamekurupuka. huu wimbo una miaka zaidi ya 55 sijawahi kuusikia ukipigwa kama kibwagizo.
wameshindwa kuwa wabunifu kama RTD enzi zake ikifika taarifa ya habari walikuwa wanatupigia zile ngoma za msukuma NG'WINAMILA
 
Back
Top Bottom