Clouds mnaudharaulisha Wimbo wa Taifa

Nami nilipousikia nikaoana dharau sana kwenye wimbo wetu wa taifa.....wangeachana na misifa ambayo haina tija ule sio ubunifu ni ukinifu!!
 
Wewe kama bado una muda wa kuisikiliza radio hiyo usituletee ulichosikia humu forum kwani wengine hatusikilizi radio hiyo na wala hatuhitaji kusikia wanafanya nini sawa mkuu!

Usizungumze kwa niaba ya wengine ka hauipendi clouds, mbona kuna baadhi ya vipindi vizuri tu ka Sport Xtra
 
:lol: wimbo wa taifa kwa mtindo huu niliousikia,
nakubali kuwa dhamani yake imekwisha. :eyebrows:
 
zamani hata ukikutwa na bendera ilikuwa kesi lakini sasa hivi hata kama unamlegezo unaingia ikulu kupiga chata

POLENI WOTE MLIOPATWA NA MAFURIKO..
 
zamani hata ukikutwa na bendera ilikuwa kesi lakini sasa hivi hata kama unamlegezo unaingia ikulu kupiga chata

POLENI WOTE MLIOPATWA NA MAFURIKO..

Kuna jamaa alifunguliwa kesi ya jinsi kwa kukanyaga Katib hawa wameufanyia aldulteration hakuna anayewakataza. Kuna mwingine alipaka helkopta yake rangi za bendera ya taifa ikawa kelele toka serikalini Huyu bwana serikali inakenua tu.

Kwa nini?????"????
 
Yaani sio siri kila nikiusikia kwa bahati mbaya najisikia kichefu chefu...nabadili stesheni gafla....
 
Kila siku nasikia unapigwa tu na mbaya hakuna attention na connections nzuri ...ukiisha tuu hapo hapo matangazo kama mwendelezo wa wimbo ambao hawaujui kabisa ipo siku wataendeleza hivo hivo....

Wakiamua kupga sijui wameruhusiwa na wenye chao sijuii bhasi iwepo connections nzuri kabla na baada ya wimbo

All in all wimbo huu upewe heshima zake
 
Kila siku nasikia unapigwa tu na mbaya hakuna attention na connections nzuri ...ukiisha tuu hapo hapo matangazo kama mwendelezo wa wimbo ambao hawaujui kabisa ipo siku wataendeleza hivo hivo....

Wakiamua kupga sijui wameruhusiwa na wenye chao sijuii bhasi iwepo connections nzuri kabla na baada ya wimbo

All in all wimbo huu upewe heshima zake
Ndo nashangaa, inakuwaje watumie wimbo wa taifa kuvuta attension ili wapige hela kwenye matangazo!!
Ivi na machinga nao wakitumia zile spika zao mtaa wa kongo au barabara ya 6 Dodoma, patakalika kweli!
 
Ndo nashangaa, inakuwaje watumie wimbo wa taifa kuvuta attension ili wapige hela kwenye matangazo!!
Ivi na machinga nao wakitumia zile spika zao mtaa wa kongo au barabara ya 6 Dodoma, patakalika kweli!
Inasikitisha kweli mambo yanabadirika kiukweli. ..

Mfano siku hizi bendera zinashushwa watu wanapiga zoga tu sio kama zamani kusimama kwanza ishushwe ndo uendelee na mambo yako ....unakuta mtu sijui mgambo anashusha uku anaongea na simu au achati tu simply kwa kuwa anaweza kutumia mkono mmoja....

Enzi zile kipindi bado kuna shule ata primary tu unapigwa j3 tu mpaka mpita njia anasubiria wanafunzi wamalize ndo aendelee na shughuli zake....

Anyway hatuna namna
 
Back
Top Bottom